• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI WA MFINGA YAZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

Posted on: February 13th, 2020

Kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na shughuli za kibinadamu za uvunaji wa mazao ya misitu na kilimo kisichofuata hifadhi ya mazingira na vyanzo vya maji halmashauri ya mji wa mafinga imejiwekea lengo kwa mwaka 2020 kuotesha miche 1,500,000 ambapo hadi sasa tayari jumla  ya miche 448,350 imeshapandwa katika maeneo mbalimbali ya halmashauri,akisoma taarifa ya halmashauri katika uzinduzi huo mbele ya mgeni rasmi ndugu Joseph mchina ambae alimuwakilisha mkuu wa wilaya ya mufindi afisa mazingira wa halmashauri bwana Tuyi alisema ‘’halmashauri ya mji wa mafinga imeandaa jumla ya miche 1000 aina ya miti maji ambayo itapandwa katika zoezi hili na miche 350 itasambazwa kwenye taasisi za shule na vituo vya afya na miche 750 itapandwa eneo la kando kando ya barabara ya tanzam lakini pia halmashauri imeanzisha kitalu cha miche 13,530 imepandwa ambayo itapandwa katka maeneo mbalimbali ya mji’’ alisema Tuyi.

Halmashauri ya mji wa mafinga ni moja kati ya halmashauri nchini zinazoongoza katika  upandaji miti na utunzaji wa mazingira kwani kwa mwaka 2019/2020 halmashauri imekuwa mshindi wa tatu kitaifa katika halmashauri zinazoongoza katika utunzaji wa mazingira.Ikumbukwe kuwa serikali iliamua kutenga siku maalum ya upandaji miti kitaifa kufuatia  mabadiliko ya tabianchi  

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • SHULE MPYA 8 ZA SEKONDARI NA MSINGI ZAJENGWA 2021-2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    July 08, 2025
  • TAA ZA BARABARANI ZA UMEME JUA HATUA MPYA YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    July 09, 2025
  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.