• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio

Mwenyekiti wa Halmashauri awataka wananchi kupanda miti kwa wingi

Posted on: January 31st, 2019

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji  wa Mafinga Mh. Charles j. Makoga amewataka wananchi kupanda miti kwa wingi ili kujikinga na hali ya jangwa na mabadiliko ya tabia nchi ameyasema hayo katika uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti katika moja ya chanzo cha maji kilichopo changarawe mjini mafinga.

Lengo la Halmshauri kwa mwaka 2019 ni kuotesha miche 1,500,000 hadi sasa jumla ya miche 1,090,769 imepandwa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri zikiwemo shule, vituo vya afya na kwenye mipaka yote ya taasisi hizo, miti iliyopandwa ni miti rafiki na maji(mivengi) miti ya matunda (parachichi),mapambo na kivuli ili kuhifadhi mazingira,kupendezesha maeneo ya wazi na kuhifadhi nyanzo vya maji lakini pia kuimarisha mipaka ya taasisi,kujipatia kipato na kuondokana na tatizo la utapiamlo katika jamii hususani kwa watoto wa shule.

“leo ni siku muhimu kwetu kwani umelenga kukumbushana na kuelimishana juu ya umuhimu wa kuhifadhi na kutunza mazingira kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo hivyo wito wangu kwa wananchi wote,vyombo vya habari,taasisi zote za serikali na asasi za kiraia na watendaji wote katika ngazi za Halmashauri ya Mji wa Mafinga kutekeleza kikamilifu sheria na kanuniza hifadhi za misitu na vyanzo vya maji,kuwepo na mikakati bora ya kuhifadhi vyanzo vya maji,mipango bora ya ardhi,mikakati ya kudhibiti uvunaji holela wa misitu pamoja na kilimo kisicho endelevu”alisema Mh. Makoga.

Serikali iliamua kutenga tarehe mosi aprili ya kila mwaka kuwa ni siku maalumu ya upandaji miti kitaifa lakini kwa kuzingatia tofauti za majira ya mvua kuanza na kuisha katika maeneo mbalimbali ya nchi Mkoa wa Iringa ulipanga uzinduzi wa upandaji wa miti katika maeneo ya mkoa kufanyika mwezi Januari kila mwaka na kauli mbiu ya mwaka huu ni “Panda miti hifadhi mazingira na vyanzo vya maji kwa vizazi vya sasa na vya baadae”

Matangazo

  • Usafi wa mazingira kwa wananchi wote kila jumamosi ya mwisho wa mwezi April 22, 2017
  • Mazoezi ya viungo April 22, 2017
  • TANGAZO LA MALALAMIKO November 14, 2017
  • RATIBA YA VIKAO VYA BAJETI January 08, 2018
  • View All

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MJI WA MFINGA YAZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI

    February 13, 2020
  • HALMASHAURI YA MJI WA MAFINGA KUCHANGIA ASILIMIA 10 YA KWA AJILI YA MFUKO WA WANAWAKE ,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAMAVU

    May 23, 2019
  • Zaidi ya Bilioni 25 .2 za Bajeti ya 2019/2020 zapitishwa na Baraza la Madiwani Halmashauri Mji Mafinga.

    February 18, 2019
  • Mwenyekiti wa Halmashauri awataka wananchi kupanda miti kwa wingi

    January 31, 2019
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh Ally Hapi akiongea juu miradi iliyoko Mafinga TC
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.