• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUSHIRIKI MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA 2022

Posted on: July 24th, 2022

KAULI MBIU

"AJENDA 10/30: KILIMO NI BIASHARA, SHIRIKI KUHESABIWA KWA MIPANGO BORA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI'

Halmashauri ya Mji Mafinga ni moja kati ya Halmashauri zitakazo Shiriki maonesho ya wakulima nanenane yatakayo fanyika kitaifa Jijini Mbeya.

Sekta mbalimbali zitashiriki maonesho haya yatakayoanza tarehe 1/8 na kufikia kilele chake tarehe 8/8.

Michakato mbalimbali ya kutafuta wakulima na wafugaji bora kwa Halmashauri ya Mji Mafinga imetekelezwa,

Aidha katika Banda la Halmashauri ya Mji Mafinga sekta mbalimbali zitashiriki ambapo vitu vifuatavyo vitaonyeshwa:-

Kilimo Bora cha Parachichi, Mahindi, Alizeti na Mbogamboga.

Ufugaji bora wa ng'ombe wa Maziwa, Kuku, Samaki na Sungura

Uongezaji thamani wa mazao ya kilimo na mifugo

Mazao ya Misitu- Miche ya Miti, Mbao na Asali

Uongezaji thamani wa mazao ya Misitu na Nyuki

Lishe

Shughuli za Utalii pamoja na Fursa za uwekezaji.


Hakikisha ukiwa Jijini Mbeya unatembelea banda letu Halmashauri ya Mji Mafinga.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 11-15/7/2022 HALMASHAURI YA MJI MAFINGA July 06, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO TAREHE 15/7/2022 MAFINGATC KWA NAFASI YA MTENDAJI WA MTAA DARAJA LA III July 14, 2022
  • VIWANJA 1305 VYAPIMWA KATA YA UPENDO NA WANANCHI 680 WALIPIA ADA YA UMILIKISHWAJI -MKUU WA WILAYA AKABIDHI HATI KWA WANANCHI(MKURABITA) August 16, 2022
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI AJIRA MPYA-MAFINGA TC-2022 September 01, 2022
  • View All

Habari mpya

  • RC-IRINGA AJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI

    January 25, 2023
  • MAFINGA TC YAKABIDHI MADARASA 10 YA KIDATO CHA KWANZA YALIYOKAMILIKA -2023 KWA RC IRINGA.

    December 22, 2022
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MAFINGA TC

    December 15, 2022
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MAFINGA TC

    December 15, 2022
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.