• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BILIONI 31..5 ZAPITISHWA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: January 30th, 2025

Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 kwa Baraza la Waheshimiwa Madiwani Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Peter Ngussa kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi Fidelica Myovella amesema kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Halmashauri ya Mji wa Mafinga inakadiria kutumia Jumla ya Tsh. 31,558,031,000.00 kati ya fedha hizo Tsh. 7,638,590,000.00 zitatokana na mapato ya ndani, Tsh.942,454,000.00 ni ruzuku ya matumizi mengineyo (OC), Tsh. 17,395,844,000.00ni ruzuku ya mishahara na TZS 5,581,143,000 ni ruzuku ya Miradi ya Maendeleo.

JUMLA KUU BAJETI YA MWAKA 2025/26 31,558,031,000.00


Ngusa amesema Halmashauri ya Mji Mafinga katika Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 imejiwekea vipaumbele vinne ambavyo ni:-


-Kutekeleza miradi inayolenga kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani (Own Source), mathalani:

Kununua maeneo ya uwekezaji,

Kuendeleza ujenzi wa miradi ya kimkakati,

Kuendeleza shamba la parachichi Makalala,

Kutunga na/au kuhuisha sheria ndogondogo za ukusanyaji wa mapato.

-Kuboresha utoaji wa huduma za jamii kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii kwa ukamilisha/kujenga miundombinu ya Sekta

 -Kuboresha ustawi wa wananchi kwa kuimarisha utawala bora kwa kuzingatia: demokrasia, utawala wa Sheria, haki, ushirikishwaji wa wananchi.

 -Kuimarisha Hali ya usafi na Uhifadhi wa Mazingira katika Mji wa Mafinga.


 Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amewapongeza Wataalamu chini ya Mkurugenzi Mji Bi.Fidelica Myovella amesema kwa Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na Ukusanyaji wa Mapato ambapo mwaka jana makusanyo yalikuwa 6.6 ambapo kwa mwaka 2025/2026 makusanyo yameongezeka mpaka kufikia Bilioni 7.6.


Baraza la Bajeti limehudhuriwa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu Reuben Chongolo na Wataalamu kutoka Tarura na Mauwasa.


Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.