• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HAKIKISHENI MNATOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI.

Posted on: October 12th, 2025

“ Watumishi hakikisheni hamuwafokei wananchi wala kuwafanya waichukie Serikali kwaajili ya huduma Mbaya tunazotoa, Msiwabague wananchi toeni huduna kwa haki, upendo na unyenyekevu na kwa kufuata maadili ya utumishi wa Umma bila kuomba wala kutaka rushwa kwani sisi watumishi ni taswira ya Serikali “


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Mufindi Ndugu, Abdull Abdarahmani alipokuwa akizungumza na watumishi wa Ajira Mpya zaidi ya 102 wa Halmashauri ya Mji Mafinga kwenye Semina Elekezi kwa waajiriwa wapya kutoka Idara mbalimbali zikiwamo sekta za Utawala, Afya, Elimu Msingi na Sekondari ,Maliasili, Mazingira, Ukaguzi na Habari.


Abdull amesema kuwa Wananchi wakitendewa vibaya katika kuwapa huduma wanapeleka chuki yao kwa Serikali iliyopo madarakani, wakati huduma mbovu imetolewa na mtumishi mmoja ambaye ameshindwa kufuata misingi na maadili ya kazi yake, hivyo amewataka watumishi kuhakikisha wanailinda Taswira nzuri ya Serikali kufuata miongozo ya kazi na kuwa wabunifu katika kazi zao ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kama ambavyo Serikali imeweka Malengo.


Akifungua Semina Hiyo Elekezi katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mkurugenzi Bi. Fidelica Myovella amewataka watumishi hao wa Ajira Mpya kuwa vinara katika kazi na moyo wa utendaji kazi waliokuja nao usififishwe na watumishi wachache wanaotaka kuzima ndoto zao huku wakijiepusha na utoro na Ulevi kazini”


“ Tunaishukuru Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta watumishi katika Halmashauri yetu na kuboresha miundombinu ya sekta mbalimbali ikiwamo za Elimu na Afya. Hakika kwa kupata watumishi hawa tunauhakikika wananchi wataendelea kupata huduma kwa wakati”


Semina hiyo Elekezi imehudhuriwa pia na Mkuu wa Idara ya rasilimali watu Ndugu Charles Mwaitege, Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Bi Doroth Kolelo na wakuu wa Idara mbalimbali zikiwamo Taasisi za Benki na Mifuko ya jamii, ambapo mafunzo ya awali yaliyotolewa.


Imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mji Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.