• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

Posted on: November 20th, 2025

Halmashauri ya Mji Mafinga imeanza kutambua na kuweka mikakati ya kutokomeza Udumavu kwa kuwapa motisha Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii wanaofanyakazi kwa kutumia juhudi binafsi kupambana na udumavu na Utapiamlo.


Akizungumza wakati wa kutoa zawadi na vyeti kwa wahudumu wa Afya ngazi ya jamii Dkt. Linda Salekwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi amesema Elimu kubwa ya uhamasishaji kwa wajasiliamali wadogo wadogo na Wafanya biashara inatakiwa kuhusu umuhimu wa Lishe na kupambana na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka 2.


“ Nashauri Kama Halmashauri tuje na Mkakati wa utoaji wa Elimu kwa wajasiliamali wadogo Kwani imebainika kuwa baadhi ya watoto chini ya umri wa miaka 2 ambao wanashinda na wazazi kwenye shughuli zao au majumbani wamegundulika kuwa na utapiamlo kulingana na takwimu.”


“Tuna kazi ya ziada ya kufanya kupunguza tatizo la Lishe. Tuhakikishe tunalimaliza kabisa tatizo la utapiamlo. Tuhakikishe Mzazi anapoenda kliniki anapewa elimu ya Lishe, Tusifanye mambo yale yale yasiyoleta mabadiliko, tuje na mipango na mikakati mipya kama ambavyo Leo tumeweza kuwatambua wahudumu wa Afya wanaofanya vizuri kwa kipindi cha robo ya kwanza ya 2025/2026, “Amesema Dkt. Linda Salekwa


Mmoja wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii aliyepata cheti na zawadi kwa kuhamasisha wakina mama kuhudhuria Klinik siku ya lishe Bi Cecilia Myinga kutoka Kata ya Bumilayinga amesema zawadi hii imempa hari na chachu ya kufanya kazi kwa bidii zaidi Kwani hata Serikali imetambua mchango wake.


Kikao hicho cha Tathmini ya Hali ya Lishe kwa robo ya kwanza 2025/2026 kimehudhuriwa pia na Mkurugenzi MJI Mafinga Bi. Fidelica Myovella, WAKUU wa IDARA na Watendaji wa Kata zote za Halmashauri ya MJI Mafinga.


Na Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.