• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

IRINGA WASICHANA YAICHAKAZA KAGERA WASICHANA MCHEZO WA GOAL BALL

Posted on: June 15th, 2025

Na: Sima Bingileki


Leo tarehe 14/6/2025 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Lugalo Timu ya wasichana wenye mahitaji Maalumu kutoka Iringa imetikisa nyavu za Wasichana Kagera kwa goli 13-1 kwa vipindi viwili.


Akizungumza Mratibu wa wa Mchezo wa Goli (Goal ball) Anitha Mlay amesema Mchezo huu unazidi kukua kwa kasi kwani kila mwaka Timu zinaongezeka na mwaka huu 2025 jumla ya mikoa 24 inashiriki Mchezo huu na Mikoa imejipanga vizuri katika kushiriki na kutimiza mahitaji ya watoto hawa wenye mahitaji maalum.


“ Hakika tunaishukuru sana Serikali kwa kuona umuhimu wa mchezo huu wa Goal Ball na kuwapa umuhimu wanafunzi wenye mahitaji maalumu kipaumbeke kwani ushiriki umekuwa mkubwa na hakuna changamoto ambayo watoto wanakutana nayo katika kucheza mchezo huu, mwaka jana ushiriki katika mchezo huu ulikuwa mikoa 22 mwaka huu mikoa imeongezeka na kuwa 24 hivyo hamasa imekuwa kubwa na jamii imeelewa umuhimu wa mchezo huu” Amesema Anitha Mlay


Amesema leo tarehe 14/6/2025 jumla ya mechi 9 zimechezwa katika hatua za Makundi ambapo Shinyanga imeipiga Rukwa 12-6(me)

Ruvuma imeipiga Arusha 9-2(me)

Njombe imeipiga Mbeya 21-2(me)

Dar-es salaam imeipiga Tanga 8-3( me)

Katavi imeipiga Morogoro 12-2(me)

Pwani imeipiga Rukwa 7 -5(me)

Kagera imeipiga Tabora 12-3( me)

Pwani imeipiga Kilimanjaro 6-5( me)

Iringa imeipiga Kagera 13-2( ke)


Mashindano ya mwaka 2024 Mkoani Tabora, timu za mpira wa Goal Ball Morogoro wavulana, na Njombe wasichana ziliibuka kuwa Mabingwa .


Mashindano ya UMITASHUMTA & UMISSETA yanaandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI ikishirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Wizara ya Habari, Utamaduni, Utamaduni na Michezo ambapo yanaongozwa na Kauli mbiu “Viongozi bora ni msingi wa maendeleo na Taaluma, Sanaa na Michezo,Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu”

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.