• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

JUMLA YA VIWANJA 1305 VIMEPIMWA KATIKA MPANGO WA MKURABITA,HATI 680 ZIMELIPIWA UMILIKI- DC MUFINDI AKABIDHI HATI KWA WANANCHI KATA YA UPENDO-MAFINGA TC

Posted on: August 18th, 2022

JUMLA YA VIWANJA 1305 VIMEPIMWA KATIKA MPANGO WA MKURABITA NA HATI MILIKI 680 ZIMELIPIWA ADA YA UMILIKISHWAJI- DC MUFINDI AKABIDHI HATI KWA WANANCHI KATA YA UPENDO-MKURABITA.

 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Saad Mtamule amekabidhi Hati miliki za Ardhi kwa wananchi wa Kata ya Upendo Mtaa wa Lumwago  katika mpango wa MKURABITA ambapo jumla ya viwanja 1305 vimepimwa na Hati 680 tayari zimelipiwa na wananchi kwaajili ya umiliki.

Akizungumza wakati wa utoaji hati hizo kwa wananchi Mheshimiwa  Mtambule amesema Serikali ya Mama Samia Suluhu Hassan inajali sana wananchi wake kwani imegharamia kupanga na kupima ardhi na wananchi wanalipia tu ada ya umiliki.

“Wananchi Hati zilizolipiwa ni 680 na Serikali imegharamia kupima na kupanga hivyo naomba niwasisitize wale ambao hamjalipia Ada za Hati zenu mfanye hivyo mapema kwani lengo la Serikali ni kuleta Maendeleo kwa wananchi wake kwa kupunguza umaskini na kuinua hali za Uchumi.

Naye Mtendaji Mkuu wa MJpango wa MKURABITA CPA DK. Seraphia Mgembe amesema lengo la Mpango ni kuhakikisha wananchi wanamiliki Uchumi wao kwa kuwa na Hati ambazo zitasaidia kuondoa migogoro ya Ardhi na kukuza uchumi wa wananchi wanyonge.

Akitoa taarifa ya MKURABITA  Afisa Mipango Miji  Ndugu, Rajab Bogwa amesema lengo la Mpango ni kupima  viwanja 1000 lakini muitikio umekuwa ni mkubwa hivyo viwanja 1305 vimepimwa tayari na wananchi wamechangia gharama za Umiliki ambapo Serikali imetumia takribani shilingi Milioni 75 katika Kuandaa kupima ardhi.

Zoezi limehudhuriwa na Mwenyekiti wa Halmashari ya Mji wa Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge, Waheshimiwa madiwani viti maalumu, Diwani wa kata ya Upendo Mheshimiwa Michael Msite, Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi Happiness Laizer, wataalamu ngazi ya mkoa wananchi na waandishi wa habari


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO-MAFINGATC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu.

 

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.