• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

JUMLAYA WATAHINIWA 3499 WAVULANA 1762 NA WASICHANA 1737 WANATARAJIA KUFANYA MTIHANIWA UPIMAJI WA KITAIFA KWA DARASALA NNE 2024

Posted on: October 21st, 2024

Jumlaya Watahiniwa 3499 wavulana 1762 na Wasichana 1737 Wanatarajia kufanya Mtihaniwa Upimaji wa Kitaifa kwa Darasala Nne 2024 katika Halmashauri Ya Mji Mafinga.

AkizungumzaMkurugenzi wa Halmashauri ya Mji MafingaBi. Fidelica Myovella amesema Mtihaniutafanyika siku mbili kuanzia Tarehe 23 hadi Tarehe 24 Mwezi Oktoba na Idadi yaShule zitakazo fanya Mtihani ni shule 45, Shule za Serikali 31 na Shule Binafsi14.

BiMyovella ametembelea  baadhi ya Shule zitakazofanya Mtihani wa Upimaji waDarasa la Nne katika Halmashauri ya Mji Mafinga kwenye Shule ya msingiMamba iliyopo kata ya Isalavanu yenye Watahiniwa 86 na Shule ya Msingi Kilimaniyenye watahiniwa 46

Bi.Myovella amepata fursa ya kuzungumza na wanafunzi na kuwatakia kila lakherikatika Mitihani yao.

NaeAfisa Elimu Msingi Mwalimu Dorothy Kobelo amesema maandalizi yote yamekamilikakwa ngazi ya Halmashauri na Shuleni maandalizi yamekamilika hivyo amewatakaWalimu kutoa ushirikiano wa kutosha kwa zoezi hilo la Kitaifa.

AidhaBi Myovella amewataka wazazi wa wanafunzi wanao tarajiwa kufanya Mtihani waTaifa kuwa Bega kwa bega na watoto wao vile vile kuepuka kuwapa msongo wamawazo ambao utawakosesha wanafunzi utulivu wa kufanya Mitihani.                                                                                                                

Imeandaliwana Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

SimaBingileki

Afisa HabariMkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.