• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio

KUELEKEA MIAKA 61 YA UHURU- MAFINGATC WATEMBELEA WAGONJWA

Posted on: December 8th, 2022

KUELEKEA MIAKA 61 YA UHURU-MAFINGA TC WATEMBELEA WAGONJWA

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Saad Mtambule akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi Happiness Laizer akiongoza Watumishi wa Mji, wameshiriki kufanya Usafi wa Mazingira katika maeneo yote yanayozunguka Hospitali ya Mji Mafinga na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa katika Hospitali hiyo.

Akizungumza na watumishi wa Taasisi mbalimbali walioshiriki zoezi hilo, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Saad Mtambule amesema kuwa Waasisi wetu walipambana mpaka kuhakikisha nchi yetu inapata uhuru hivyo, ili kuonyesha mchango wetu kwa nchi yetu basi na sisi tufanye kazi kwa bidii bila kuchoka kuhakikisha katika sekta zote Maendeleo chanya yanapatikana ili wale waliochini yetu wanaotutegemea waweze kufaidi matunda ya nchi yao.

“ Tuhakikishe tunafanya kazi kwa bidii tusimamie miradi ya maendeleo na tutoe huduma Bora kwa wananchi ili waisemee vizuri Serikali kwa yale maendeleo yaliyopatikana baada ya uhuru”

Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada katika wodi ya wanawake katika Hospitali ya Mji Mafinga Mkurugenzi Bi Happiness Laizer amesema lengo la Serikali Ni kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma Bora na kwa wakati hivyo kuwatembelea wagonjwa Ni kuonyesha upendo, kuwajali na kuwathibitishia kuwa Serikali ipo pamoja nao kwa nyakati zote.

Serikalini imeendelea kuboresha huduma za Afya kwa kujenga miundombinu Bora ili kuhakikisha wananchi wanapokea huduma na kwa gharama nafuu.Taasisi mbalimbali zimehudhuria zoezi Hilo la kuelekea miaka 61 ya Uhuru ikiwemo Saohill, Nssf,Taasisi za kifedha pamoja na watumishi wa hospitali ya Mji Mafinga.

Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru ni “ Amani na Umoja Ni Nguzo ya Maendeleo Yetu”


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC

Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga Tc

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 11-15/7/2022 HALMASHAURI YA MJI MAFINGA July 06, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO TAREHE 15/7/2022 MAFINGATC KWA NAFASI YA MTENDAJI WA MTAA DARAJA LA III July 14, 2022
  • VIWANJA 1305 VYAPIMWA KATA YA UPENDO NA WANANCHI 680 WALIPIA ADA YA UMILIKISHWAJI -MKUU WA WILAYA AKABIDHI HATI KWA WANANCHI(MKURABITA) August 16, 2022
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI AJIRA MPYA-MAFINGA TC-2022 September 01, 2022
  • View All

Habari mpya

  • RC-IRINGA AJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI

    January 25, 2023
  • MAFINGA TC YAKABIDHI MADARASA 10 YA KIDATO CHA KWANZA YALIYOKAMILIKA -2023 KWA RC IRINGA.

    December 22, 2022
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MAFINGA TC

    December 15, 2022
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MAFINGA TC

    December 15, 2022
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.