Kauli hiyo imetolewa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mafinga Mjini Bi. Dorothy Kobelo alipokuwa akifungua mafunzo ya Makarani Waongozaji Wapiga Kura yaliyofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Changarawe katika Halmashauri ya MJI Mafinga.
Amewataka Makarani waogozaji Wapiga Kura
Kwa Mujibu wa Ratiba ya Uchaguzi iliyotolewa na Tume Huru ya Uchaguzi, Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika Tarehe 29 Oktoba, 2025 Siku ya Jumatano. Jimbo la Mafinga Mjini ni Moja kati ya Majimbo 272 yatakayo fanya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025.
Mafinga Town.
Postal Address: Po.Box 76 Mafinga
Simu: +255 262 772 393
Mobile: 026-2772393
Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz
Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.