• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI YAKUSANYA ASILIMIA 113 BILIONI 6.2

Posted on: August 14th, 2024


Halmashauri ya Mji Mafinga  yavuka lengo la ukusanyaji Mapato ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2023/2024 yakusanya Bilioni 6.2 ikiwa ni sawa na  asilimia 113 kutoka Bajenti pangwa ya shilingi Bilioni 5.52


Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella katika Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika leo tarehe 14/8/2024 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Luganga.

Akifungua Mkutano huo wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za robo ya nne kwa Mwaka wa fedha 2023/2024 Mwenyekiti wa Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema matokeo hayo yametokana na Ushirikiano baina ya Mkurugenzi na Timu yake na Waheshimiwa Madiwani kushauriana na kuwa kitu kimoja linapofika suala linalogusa maslahi mapana ya Halmashauri


“Mapato ndio uhai wa Halmashauri yoyote , hakika niwapongeze kwa kuvuka lengo na kukusanya asilimia 113. Hii iwe chachu ya kujituma zaidi. Mafinga imekuwa ikifanya vizuri katika usimamizi wa Miradi ya Maendeleo na imekuwa ikifanya vizuri kwenye sekta mbalimbali, hii inatupa nguvu sisi viongozi kuzidi kufanya kazi na kuwatumikia wananchi kwa Uadilifu Mkubwa” Dkt. Linda Salekwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi



Naye Katibu wa Chama  Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi Ndugu Clemence Immanuel Bakuli amesema  Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi unaonekana kwa vitendo katika Halmashauri ya Mji Mafinga. Amesema huduma zinatolewa kwenye sekta za Afya,Elimu. ukusanyaji wa  Mapato na zaidi Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo  hauna mashaka.


Mkutano wa Baraza la Waheshimiwa Mqdiwani umehudhuriwa na Wananchi, Mwakilishi ngazi ya Mkoa,Kaimu Katibu Tawala Wilaya , Wakuu wa Idara na Vitengo na Waandishi wa Habari.


Imeandaliwa na


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.