• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI MJI MAFINGA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA

Posted on: October 11th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella amefanya Kikao kazi na Watumishi wa Ajira Mpya katika Ukumbi uliopo katika Ofisi za Halmashauri na kuwasisitiza kuzingatia Uwajibikaji katika Utendaji wa Majukumu Yao.


Akizungumza katika kikao hicho Bi, Fidelica Myovella amesema Watumishi wa Ajira Mpya Wanatakiwa kumshukuru Mungu na Serikali kwa kuwapatia Ajira hivyo Wanatakiwa kufanya kazi kwa Weledi kwa kutoa Huduma nzuri kwa Jamii,pia Wazingatie Maadili ya Kazi kwa kuvaa Vizuri,kutumia Lugha nzuri ya Mawasiliano na Kuboresha Ushirikiano katika Maeneo ya Kazi.


Naye Mkuu wa Takukuru Wilaya ya Mufindi Ndugu Abdull Abdarahaman amewasihi Watumishi wa Ajira Mpya kutunza vyema Vifaa vya huduma za Umma na kutanguliza maslahi ya Umma mbele kuliko maslahi binafsi pia huduma zitolewe kwa Wakati na unyenyekevu bila kujali rangi au kabila ya Mtu.


“Mnapokuwa Maeneo ya Kazi tumieni Lugha nzuri na zingatieni suala la Mavazi ya heshima na muepuke kutoa au kupokea rushwa pia muwe na Utii na Serikali iliyopo Madarakani kwa kutekeleza Sera,Kanuni na Miongozo inayotolewa na Viongozi wetu.” Amesema.


Pamoja na hayo Mkuu wa Idara ya Utumishi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Charles Mwaitege amewahimiza Watumishi wa Ajira Mpya Kutojihusisha na mambo ya Siasa,kuepuka ulevi na Mikopo isiyo ya lazima pia kuzingatia muda wa Kazi, kuonyesha Ushirikiano Wanapokuwa kazini na kutoshiriki kupinga Sera au Mipango ya Serikali.


Wakati huo huo Afisa Utumishi Ndugu Julius Mwalongo ametoa Mafunzo juu ya Upimaji wa Utendaji Kazi na kuwahimiza Watumishi wa Ajira mpya kuwa na Utaratibu wa kujaza majukumu kwenye mfumo.



Mkurugenzi Bi, Fidelica Myovella ameendelea kumshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia kuwaongezea Watumishi wa Ajira Mpya ambao watasaidia katika Utekelezaji wa Majukumu katika Idara na Vitengo vya Halmashauri ya Mji wa Mafinga.


Vedasto Faustine Malima

Afisa Habari

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.