• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MYOVELLA ATOA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024-MAFINGA

Posted on: September 28th, 2024

Tarehe 26/9/2024 Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovella ametoa Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Wadau katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Luganga.


Maelekezo hayo yanafafanua hatua zitakazoongoza Mchakato wa Uchaguzi, Kuanzia Uandikishaji wa Wapiga Kura, Uchukuaji na Urejeshaji wa Fomu za Kugombea, Uteuzi wa Wagombea na tarehe ya siku ya Uchaguzi.

Akitoa Maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Wadau ambao ni Wazee maarufu, Viongozi wa Dini, viongozi wa Kisiasa, watendaji wa Kata. viongozi wa makundi maalumu Kama wanawake, bodaboda, Vijana na vikundi vya Uhamasishaji kutoka Halmashauri ya Mji Mafinga.


Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovella Amesema :-

-Uchaguzi Utafanyika Tarehe 27 /11/2024

-Zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura litafanyika kuanzia tarehe 11-20/10/2024 na vituo vitafunguliwa saa2:00Asubuhi na Kufungwa saa 12:00 Jioni.

-Kura zitapigwa kuanzia saa 2:00 Asubuhi Mpaka saa 10:00 Jioni

- Wakazi wote wenye umri wa Miaka 18 au Zaidi wanahimizwa kushiriki uchaguzi

- Wakazi wenye Umri wa Miaka 21 au zaidi wanaotaka kugombea nafasi za Uenyekiti wa Mtaa/ Uenyekiti wa Kijiji/ Wajumbe wanahimizwa kuchukua fomu za kugombea katika Ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi

- Fomu zitatolewa na kutakiwa kurudishwa kuanzia tarehe1-7 Nobemba 2024

- Uteuzi wa wagombea Tarehe 8 Novemba 2024

- Pingamizi kuhusu uteuzi wa wagombea tarehe 8-9 Novemba 2024 na Uamuzi wa Pingamizi tarehe 8-10 Novemba 2024

- Rufaa zitapokelewa kuanzia tarehe 10-13 Novemba 2024 na Uamuzi wa Kamati ya Rufaa utatolewa kuanzia tarehe 10-13 Novemba 2024

- Kampeni za Uchaguzi kwa Mujibu wa Kanuni Zitaanza Tarehe 20-26 Novemba 2024 kuanzia saa 2:00 Asubuhi hadi saa 12:00 Jioni. 

Mgeni Rasmi katika kikao hicho cha kupokea Maelezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ambaye amehimiza Amani na Uzalendo katika kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.