• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

ONGEZENI UWAJIBIKAJI NA KUJIEPUSHA NA MGONGANO WA KIMASLAHI KWA HUDUMA BORA YA MAJI KWA WANANCHI.

Posted on: October 18th, 2025

Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Mufindi Bw Abdull Abdarahmani amewataka viongozi na watumishi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), wenyeviti wa bodi na viongozi wa Jumuiya za Watumia Maji ngazi ya Jamii kutoka wilaya za Mufindi, Kilolo na Iringa Mjini kuongeza uwajibikaji na kujiepusha na mgongano wa kimaslahi kwenye matumizi ya fedha katika utekekelezaji wa miradi ya maji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi ili thamani ya fedha ya miradi iweze kupatikana na kulinda hadhi na heshima ya Serikali.


Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba, 17,2025 na Abdarahmani wakati akiwasilisha mada ya Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma na Wajibu wa kila mtoa huduma katika kuzuia na kupambana na rushwa kwenye kikao cha robo mwaka kinachowakutanisha wadau wa maji kutoka mkoa wa Iringa, kilichofanyika ukumbi wa NFS, uliopo Halmashauri ya Mji Mafinga. chini ya uenyekiti wa Meneja wa RUWASA mkoa wa Iringa Mhandisi.


Mkuu huyo wa TAKUKURU wilaya ya Mufindi amewataka viongozi kutumia kikao hicho kufanya tathimini ya hali ya utoaji huduma ya maji ndani ya mkoa wa Iringa na kwamba wasione muhali kuwachukulia hatua watumishi na watoa huduma wachache wanaokwenda kinyume na Sheria, Kanuni na Miongozo.


Bwa. Abdarahmani aliwaeleza wajumbe wa kikao hicho kuwa maji hayana mbadala na kwamba Serikali inaendelea kuwekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ili wananchi waweze kupata huduma bora, kinyume chake wananchi wanaweza kukosa imani kwa watumishi na Serikali yao hivyo watumishi hao wanapaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa.


Mkuu huyo wa TAKUKURU alizidi kueleza kuwa mgongano wa kimaslahi na usimamizi dhaifu wa matumizi ya fedha katika kutekeleza miradi ya maendeleo kunaweza kupelekea kuwa na miradi isiyo na ubora, kuwapata wakandarasi wasio na sifa/uwezo, miradi isiyokamilika kwa wakati na wakati mwingine kuna na huduma duni.


Aidha, Mkuu huyo alitumia fursa hiyo kuwakumbusha wadau kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 pasipo na kujihusisha na vitendo vya rushwa ili kupata viongozi wenye sifa na watakaosaidia kusukuma mbele gurudumu la maendeleo.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.