• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAHESHIMIWA MADIWANI MAFINGA MJI WAPITIA MPANGO KABAMBE WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA (2020-2040)

Posted on: June 24th, 2022

WAHESHIMIWA MADIWANI WAPITIA MPANGO KABAMBE WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA  KWA MIAKA ISHIRINI (2020-2040)

Kikao Maalumu cha Baraza la Madiwani kikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Mji wa Mafinga Mheshimiwa Julist Kisoma kimeketi leo na kupitia Mpango Kabambe wa Mji wa Mafinga kuanzia kwa mwaka 2020-2040.

Akimkaribisha Makamu Mwenyekiti Kufungua kikao hicho Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema mpango huu ulianza kuandaliwa tangu mwaka 2017 ambao ulishirikisha wadau mbalimbali  wa  Kata zote ambapo walishauri yatengwe maeneo ya Mazishi, hifadhi za barabara na kilimo cha kisasa.

Mheshimiwa Julist Kisoma amepongeza Menejimenti ya Mji Mafinga kwa kazi nzuri ya Kuandaa mpango huo  ambao utapanga Mji kwa miaka 20 ijayo kwani utakuwa ni Dira kubwa kwa Maendeleo ya Mji wa Mafinga ambao unakua kwa kasi kubwa.

Akiwasilisha Mpango huo kwa waheshimiwa Madiwani, Afisa Ardhi na Maliasili Bwana Rajabu Bogwa amesema  vipaumbele saba vilivyopendekezwa na wadau ni pamoja na :-

  • Maji na Umeme
  • Barabara/ Mfumo wa Usafirishaji
  • Ardhi na maliasili
  • Huduma za Kijamii
  • Viwanda
  • Kilimo
  • Usafi wa Mazingira.

Mpango Kabambe ni mpango wa kuongoza na kusimamia Uedelezaji na kudhibiti Ukuaji wa Mji/ Miji, ambapo mpango huu ulianza kuandaliwa tangu mwaka 2017, ambapo mnamo tarehe 5/9/2017 ulifanyika mkutano wa Wadau kwaajili ya Uandaaji wa Mpango huo kabambe ambapo mkutano ulifanyika katika ukumbi wa CCM wilaya ya Mufindi.

Baada ya Mpango huu kupitishwa na Kikao cha wadau, ngazi ya kata, Baraza la Madiwani na sasa unatarajiwa kuwasilishwa kwa Katibu Tawala Mkoa wa Iringa na Baadae kuwasiliswa Wizarani kwa hatua zaidi.

IMEANDALIWA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO- MAFINGA TC

SIMA BINGILEKI

AFISA HABARI MKUU

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.