• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAZIRI WA OR-TAMISEMI MHESHIMIWA INNOCENT BASHUNGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WALIO CHINI YA WIZARA YAKE-MIKOA,HALMASHAURI NA TAASISI

Posted on: July 5th, 2022

WAZIRI WA OR-TAMISEMI INNOCENT BASHUNGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WALIO CHINI YA OFISI YA RAIS TAMISEMI-DODOMA.

“Suala la kutoa taarifa kwa wananchi ni jambo la lazima, hivyo tuhakikishe wananchi wanapata taarifa kuhusu nini Serikali inafanya, Miradi inayotekelezwa na Fedha zinazopelekwa kwenye kila Halmashauri na Mkoa wananchi wajue kwani ni haki yao, na uwezo wa kutoa taarifa hizo mnao Maafisa Habari wa Serikali”

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Innocent Bashungwa alipokuwa na kikao  cha kimkakati katika utendaji wa kazi na Maafisa Habari wa Mikoa, Halmashauri na Taasisi zilizo chini ya TAMISEMI jijini Dodoma.

Mheshimiwa Bashungwa amesema Serikali ya Awamu ya sita inatekeleza Miradi mingi kwenye kila sekta na wananchi wanatakiwa wapate taarifa hizo kwani ni haki yao, na kazi ikifanyika kwa asilimia 70% ya utoaji taarifa za Serikali nina uhakika wananchi watajua nini Serikali inafanya na wananchi watakuwa wamefikiwa kwa asilimia kubwa.

Ameongeza kuwa atahakikisha vifaa kwaajili ya utendaji kazi vinapatikana kwa kila mikoa na Halmashauri ili utendaji kazi uwe mzuri wenye kutimiza matakwa ya wananchi na Serikali kwa ujumla wake na kwa mwaka huu mpya wa fedha amesema anatamani kuona utendaji kazi na upashaji wa habari za Serikali kwa Umma umeongezeka.

Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa na Msemaji Mkuu wa Serikali bwana Gerson Msigwa ambaye nae amewaasa Maafisa Habari kuongeza kasi ya utoaji wa habari na kuwa wabunifu katika njia mbalimbali za upashaji habari.

Wakurugenzi wa TAMISEMI wa Afya, Elimu, Tehama, Habari, Utumishi na Maafisa wengine waandamizi Ngazi ya Mkoa wa Dodoma na TAMISEMI wamehudhuria kikao hicho.


Imeandaliwa Ofisi ya Habari na Mawasiliano- MAFINGA TC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.