• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

Ufugaji

SEKTA YA MIFUGO

     Miundombinu ya Mifugo Majosho:

Halmashauri ya mji ina majosho 14 (9 ni ya vikundi nayo ni Josho la Kitelewasi,Josho la Kikombo,Josho la Isalavanu,Josho la Wambi,Josho la Mtula Josho la Ihefu,Josho la Itimbo (bovu) Josho la Sohill kijijini (Halijakamilika) Josho la matana na 5 ni ya taasisi). Majosho yanayo fanya kazi ni 9, mabovu ni kabisa 2 na yasiyo fanya kazi ni 3.

 Hakuna malambo kwa ajili ya matumizi ya mifugo napia vibanio vya kudumu kwa ajili ya kutolea chanjo na huduma nyinginezo za mifugo hakuna. Uogeshaji mkubwa wa mifugo hufanywa kwa kutumia majosho na umewezesha kupunguza vifo vitokanavyo na magonjwa ya kupe kutoka asilimia 25 mwaka 2015 hadi asilimia 2 desemba 2017.

Aidha Halmashauri ina jumla ya machinjio 2 ambazo zipo kata za Boma na Changarawe machinjio ya kata ya Boma ni ya zamani kwasasa haifanyi kazi machinjio ndogo ya ng’ombe ipo Moja mtaa wa Ihefu. Halmashauri pia ina makaro 23 kwa ajili ya kuchinjia Nguruwe ambayo yapo kwenye kata za Boma, Changarawe,Upendo na Kinyanambo.

Halmashauri ina minada mmoja uliyopo Kata ya Isalavanu uitwao Lugoda Lutali, Kwa kipindi cha 2015 hadi Desemba mosi 2017  jumla ya ng’ombe 5948 Mbuzi 124 Kondoo 3 Nguruwe 76 wenye thamani ya  Sh 3,770,052,000/=  waliuzwa kupitia mnada huo.

Mnada huo ambao ni wa awali (Primary livestock market) umeingizwa katika mfumo wa kupashana taarifa za masoko ya mifugo nchini (Livestock Information Network Knowledge – LINK) unaosimamiwa na Wizara ya Viwanda na Biashara na hivyo taarifa za mwenendo wa bei ya ng’ombe mnadani kwa madaraja hutolewa na kutangazwa nchi nzima kila wiki. Pia taarifa hiyo inapatikana katika mtandao wa simu za mkononi.


    Magonjwa na Chanjo ya kuzuia magonjwa ya Mifugo

Magonjwa makuu yanayoathiri mifugo katika Halmashauri ni magonjwa yasababishwayo na kupe, chambavu, mdondo wa kuku na kichaa cha mbwa. Katika kipindi cha Julai 2015/16 hadi Novemba  2017, jumla ya kuku 361,461 wamechanjwa dhidi ya ugonjwa wa mdondo hii nipamoja na chanjo ya marudio, ng’ombe 13746 wamechanjwa dhidi ya ugonjwa wa chambavu. Aidha kwa kipindi cha kuanzia Julai 2015 hadi Novemba 2017, Jumla ya Mbwa2168 wamechanjwa dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa.


    Uhamilishaji wa Mifugo (Artificial Insemination).

Jumla ya ng’ombe 243 walihimilishwa na jumla ya ng’ombe 158 walishika mimba na kuzaa kati ya ng’ombe 85 walirudiwa. Halmashauri kwas asa haina vifaa vya uhimilishaji,na kwas asa uhimilishaji unafanywa na wataalamu wa shamba la mifugo Saohil, ununuzi wa vifaa vya uhimilishaji nimoja ya vipau mbele vyaidara kwenye bajeti ya 2018/2019.




Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YA FANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    May 13, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMESEMA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOFANYA KAZI KWA KARIBU SANA NA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI WAKE

    May 13, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA ASHIRIKI MKUTANO WA WANANCHI KIJIJI CHA ITIMBO KATA YA RUNGEMBA

    May 12, 2025
  • TASAF III YACHANGIA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 22 SHAMBA LA MITI EKARI 11 KIJIJI CHA ITIMBO KUPITIA WANUFAIKA WA TASAF

    May 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.