• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

CRDB WAKABIDHI MADAWATI 50 KWA DC MUFINDI KWAAJILI YA SHULE YA MSINGI CHANGARAWE

Posted on: May 28th, 2024

 BENKI  ya CRDB Tawi la Mafinga kupitia Mpango wa Keti-Jifunze  imekabidhi madawati 50 kwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ikiwa ni kuunga Mkono Jitihada za  Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha wanafunzi wote Nchini wanapata Elimu Bora na katika Mazingira rafiki na salama.


Akipokea Madawati hayo mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa alisema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kujenga Miundombinu ya Madarasa na kuweka madawati na vifaa vya kujifunzia na Wadau wanafanya kuunga juhudi za Serikali kwa kiasi kikubwa lengo ni kuhakikisha wanafunzi wanapata mazingira bora ya kusomea.

“Wanafunzi Serikali imefanya nafasi yake, Wadau Hawa wa CRDB wamefanya nafasi yao na wamekuwa ni wadau wazuri wa Maendeleo katika Wilaya ya Mufindi sasa jukumu lililobaki ni ni lenu wanafunzi kusoma kwa bidii na kufaulu  ili mtimize ndoto zenu”


Kwa uapande wake  Meneja wa CRDB Kanda ya kati  Chabu Mishwaro alisema Mpango huo wa keti-Jifunze unaotekelelezwa na Benki hiyo, unatekelezwa na nchi nzima ambapo lengo ni Kuunga Juhudi za Serikali kuhakikisha  kila mwananfunzi anapata fursa  ya kujifunza vizuri akiwa amekaa na siyo kurundikana katika dawati moja.

"Lengo la kutoa Madawati ni kuinua kiwango cha elimu katika shule zetu zote Nchi mzima ili kuongeza ufahuru kwa wanafunzi kutoka na na kujifunza katika mazingira rafiki na wezeshi.hakikisha tunapunguza msongamano wa wanafunzi kukaa kukaa katika dawati moja" Alisema.



Naye Mkurugenzi wa Mji Mafinga  Fidelica Myovella alisema Dawati hizo zitapunguza Changamoto ya upungufu wa madawati 100 ambayo  inaikabili shule hiyo.

"Tunawashukuru sana Benki ya CRDB kwa kuunga mkono Jitihada za Serikali za kuhakikisha wanafunzi wanapata Elimu katika mazingira Tulivu. Niwahakikishie tutayatunza madawati haya ili yaendelee kuleta manufaa kwa wanafunzi wetu”Alisema.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YA FANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    May 13, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMESEMA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOFANYA KAZI KWA KARIBU SANA NA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI WAKE

    May 13, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA ASHIRIKI MKUTANO WA WANANCHI KIJIJI CHA ITIMBO KATA YA RUNGEMBA

    May 12, 2025
  • TASAF III YACHANGIA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 22 SHAMBA LA MITI EKARI 11 KIJIJI CHA ITIMBO KUPITIA WANUFAIKA WA TASAF

    May 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.