• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

Posted on: September 12th, 2025

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI  MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025 .        


Wanafunzi wa Darasa la Saba katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga wamemaliza kufanya Mitihani yao ya Kumaliza Elimu ya Msingi iliyofanyika kuanzia tarehe 10 mpaka Tarehe 11 Mwezi huu wa 9 Mwaka 2025

.                                

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga Bi; Fidelica Myovella amesema anawapongeza Idara ya Elimu Msingi kwa Usimamizi Mzuri wa Mitihani ya Darasa la Saba kwa kuzingatia uwepo wa Amani na kutokuwepo na changamoto yoyote.                                                        

Naye Afisa Elimu Msingi Bi; Doroth Kobelo amesema kuwa idadi ya Wanafunzi Waliofanya Mitihani Jumla wapo 2905,Wavulana 1367 na Wasichana 1538.                                    


“Idadi ya Shule za Wanafunzi Waliofanya Mitihani ya Darasa la Saba zilikuwa Jumla 44 kati ya hizo Shule za Serikali ni 31 na Shule binafsi ni 13." Amesema.      


Pamoja na hayo Bi; Doroth ameshukuru Uongozi wa Halmashauri  na Taasisi mbalimbali  kwa kuhakikisha Mitihani kufanyika kwa Amani bila kuwepo na changamoto yoyote

.                          

Vedasto Malima.                                     

Afisa Habari

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • WAJUMBE WAPEWA MAFUNZO YA MTAKUWWA KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    September 11, 2025
  • MAFINGA TC YANG’ARA SHIMISEMITA 2025 TANGA, YANYAKUA VIKOMBE VITATU NA MEDALI

    August 29, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.