• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

Mikakati

    MIKAKATI YA HALMASHAURI KATIKA KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

Katika kipindi cha miaka miwili kuanzia Julai 2015 hadi Juni 2017, Halmashauri  ilipanga kutekeleza malengo na mikakati mbalimbali ili kuondoa kero na kuboresha maisha ya Wananchi. Baadhi ya Mikakati hiyo ni pamoja na kutekeleza:-

•    Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015

•    Mkakati wa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, chini ya utaratibu wa mpango wa matumizi wa muda wa kati (MTEF).

•    Malengo endelevu ya milenia 2030

•    Matakwa ya Sera na sheria zinazosimamia sekta mbalimbali.

•    Mkakati wa kitaifa wa Kupambana na Kuzuia Rushwa.

•    Mkakati wa kupambana na UKIMWI.

•    Hotuba ya mh. Rais wakati wa kufungua bunge la 10  la Jamhuri ya Muungano mjini Dodoma Novemba 2015.


Katika kuhakikisha mafanikio yanapatikana Halmashauri ya Mji imejiwekea mikakati ifuatavyo:-

•    Kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi yenye ufanisi mkubwa ili kutoa huduma bora kwa wananchi.

•    Kutengeneza mazingira bora ya Utawala kwa kudumisha amani na umoja.

•    Kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwapatia ushauri wa kitaalamu.

•    Kuhakikisha tunaongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali kwa kuongeza ubora na kuuza kwa bei nzuri na hatimaye kuongeza kipato na pato la Taifa.

•    Kuhakikisha wadau mbalimbali wanashiriki katika shughuli za Maendeleo.

•    Kuandaa Mipango shirikishi na endelevu.

•    Kuboresha na kubuni vyanzo vya mapatoya Halmashauri

Ili kutekeleza mikakati hiyo ya Halmashauri Halmashauri inazingatia fursa mbalimbali  zilizopo hapa Halmashaurini ikiwa ni pamoja na:

Watu: Rasilimali watu ndio msingi mkubwa wa mafanikio katika utekelezaji wa mipango yetu ya Maendeleo ambapo kwa takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Halmashauri ilikuwa na watu 45,349 Asilimia (63.3%) ya Idadi ya watu 71,641 waliokuwa na uwezo wa kufanya kazi.

Ardhi:Halmashauri ina rasilimali ya ardhi yenye rutuba ya kutosha ambayo inaweza kutumika kwa shughuli mbalimbali za kuinua uchumi. Hata hivyo eneo linalotumika kwa kilimo ni hekta 263,552 kati ya hekta 712,300  zinazofaa kwa kilimo.


Fursa za uwekezaji na viwanda:

Katika Mji wa Mafinga viwanda vilivyopo ni pamoja na kutengeneza mazao yatokanayo na kilimo viwanda vikubwa ni pamoja na Unilever Tea Tanzania Ltd, Mafinga Tea &Coffee Company, Tanzania Pyrethrum Processing & Marketing Company,  Mafinga Paper Mills (MPM) na Chai Bora


Fedha: Rasilimali fedha kutoka serikali kuu, mapato ya ndani, michango ya wananchi na wadau wa maendeleo umewezesha Halmashauri kuweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na utoaji huduma muhimu za kijamii na kiuchumi.


Miundombinu: Miundo mbinu mizuri ya barabara na mawasiliano ambayo imewezesha kufanikisha shughuli za Maendeleo kwani asilimia 100% (416km) ya barabara zinapitaka mwaka mzima. Katika kushughulikia na kuondoa kero za wananchi. Halmashauri imekuwa ikitekeleza wajibu wake ikizingatia lengo kuu la kuchochea ukuaji wa uchumi wa Tanzania na kupunguza umaskini kwa hususani wa hali ya chini

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.