• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAJUMBE WAPEWA MAFUNZO YA MTAKUWWA KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: September 11th, 2025

Wapeni watoto Majina mazuri ya heshima, Mkiwapa majina mabaya yanaathiri sana ukuaji wao na baadae kusababisha kutokea ukatili kwa mtoto husika au kwa jamii inayomzunguka kutokana na jina alilonalo”


Kauli hiyo imetolewa na Ndugu, Martin Chuwa Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Iringa alipokuwa akitoa mafunzo kwa Wajumbe wa Kamati ya kusimamia Utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto( MTAKUWWA) ngazi ya Halmashauri ya Mji Mafinga.


Ndugu Chuwa ambaye ni Mwezeshaji amesema kuwa Majina mengi watoto wanayopewa hasa mabaya yanawafanya watoto hao wakikua kuishi maana ya majina yao au kutenda maovu wakipata uhalisia wa historia ya Majina yao, hivyo amewaomba wazazi kuhakikisha wanawapa watoto majina yenye heshima na si vinginevyo.

Akifungua Mafunzo hayo ya siku Moja Mkurugenzi Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovella ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema kuwa suala la ukatili halikubaliki popote na ndio maana Serikali inaweka Mikakati mathubutu ya kutokomeza ukatili ndani ya jamii kwa kushirikisha wadau, wananchi, taasisi za dini, asasi za kiraia na vyombo vya usalqma.


“ Ukatili Mkubwa wa Kijinsia unasababishwa na hali ya umaskini kwenye familia husika” hivyo lazima tuhakikishe ukatili unatokomwezwa kwa gharama yoyote” amesema Bi. Myovella

Lengo la mafunzo haya ya siku moja ni kuwakumbusha wajumbe majukumu yao na kuhakikisha Halmashauri  ya Mji Mafinga kupitia Kamati hii ya MTAKUWWA inatoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya ukatili na kubuni mbinu za kuzuia ukatili wa kijinsia ndani ya jamii kwa kushirikisha wananchi.

Kamati ya MTAKUWWA awamu ya Pili  inaundwa na wajumbe kutoka Dawati, Taasisi za Dini, Wazee, Makundi ya wanawake, Mahakama, Maafisa Ustawi wa Jamii, Menejimenti ya Halmashauri, wawakilishi wa wanafunzi wa Msingi na Sekondari pamoja na Afya.


Imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Afisa Habari Mkuu - Mji Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • WAJUMBE WAPEWA MAFUNZO YA MTAKUWWA KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    September 11, 2025
  • MAFINGA TC YANG’ARA SHIMISEMITA 2025 TANGA, YANYAKUA VIKOMBE VITATU NA MEDALI

    August 29, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.