• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DC DKT LINDA SELEKWA HAKIKISHENI WANANCHI TULIO WAHAMASISHA KUJIANDIKISHA KATIKA ORODHA YA WAPIGA KURA KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA SASA TUNAWAHAMASISHA WAKAPIGE KURA TAREHE 27 NOVEMBA

Posted on: November 20th, 2024

“Hakikisheni wananchi tulio wahamasisha kujiandikisha katika Orodha ya wapiga kura kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sasa tunawahamasisha wakapige kura tarehe 27 Novemba 2024 na kufanya uchaguzi wa Amani kwa kuzingatia 4 R za Mheshimiwa Rais.


Tuhakikishe wananchi tuliowaandikisha wanajitokeza kupiga kura tarehe 27 Novemba 2024 , ili wapate haki ya kuchagua viongozi wanaowataka ili kuweza kupanga mipango yao ya Mitaa kwa ushirikiano.


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa alipokuwa akizungumza kwenye

Mkutano wa Baraza la Madiwani la kupitia taarifa za Robo ya kwanza Julai - Septemba 2024/2025 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga.


Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ameipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa kuendelea kufanya vizuri katika sekta mbalimbali huku akiiangazia Sekta ya Michezo na Utamqduni ambayo katika Michezo ya SHIMISEMITA 2024 Imefanikiwa kushinda, ngoma Mshindi wa kwanza, Mpira wa wavu wasichana mshindi wa kwanza na Nishani ya Kurusha Tufe mshindi wa kwanza kwa Neema Chongolo


“Ili upate mabadiliko lazima ufanye tofauti ,tuache mazoea katika utekelezaji wa majukumu yetu. Lazima tufikiri tofauti

Tukiacha mazoea hakuna atakayeifikia Halmashauri ya Mji Mafinga” Dc Mufindi Dkt Linda Salekwa.


Amesema Mwaka 2024 Halmashauri ya Mji Mafinga imeshika nafasi ya kwanza Kitaifa kanda ya pili katika Mbio za Mwemge

Wa Uhuru 2024 ambapo Halmashauri imekabidhiwa Kombe la Ushindi, Cheti na fedha shilingi milioni 1


Imeandaliwa na Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mafinga TC




Picha za matukio mbalimbali za Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt Linda Selekwa akizungumza na madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo katika Baraza la Madiwani kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MASHINDANO YA UMISSETA NA UMITASHUMTA KUKUZA FURSA ZA UCHUMI NA UTALII IRINGA

    June 09, 2025
  • UMISSETA NA UMITASHUMTA KUANZA KUTIMUA VUMBI IRINGA

    June 09, 2025
  • KAIMU MKURUGENZI NDUGU CHARLES MWAITEGE AMEENDESHA KIKAO CHA KAMATI YA LISHE ROBO YA TATU

    June 06, 2025
  • MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA HOSPITALI YA MJI MAFINGA

    June 03, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.