• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DC-MUFINDI AITISHA KIKAO CHA KWANZA CHA MAADALIZI YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2024 KATIKA WILAYA YA MUFINDI

Posted on: April 5th, 2024

Leo Tarehe 3/4/2024 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ameitisha kikao cha kwanza cha Maandalizi ya Mbio za Mwenge 2024 ambapo Mkoa wa Iringa unategemea kupokea Mwenge wa Uhuru 2024 Tarehe 22/6/2024 kutoka Mkoa wa Njombe na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi inategemea kupokea Mwenge tarehe hiyo.

Halmashauri ya Mji Mafinga inategemea kupokea Mwenge tarehe 25/6/2024 na utakabidhiwa tarehe 26/6/2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Aidha Mkuu wa Wilaya amezitaka Halmashauri zote Mbili za Wilaya ya Mufindi kuhakikisha Miradi iliyopendekezwa ikamilike Kama haijakamilika na taarifa za Miradi yote zipitiwe na kukaguliwa kabla ya Mwenge Kufika.


Dkt Linda Salekwa amewataka Wakuu wa Taasisi zote, Wananchi na Watumishi kuhakikisha wanafanya Maandalizi ya kuupokea Mwenge wa Uhuru 2024 sehemu zote utakapopita kwani Mwenge unaleta na kuchachua Maendeleo ikiwa ni pamoja na kukamilisha Miradi, kufichua wala rushwa na kusambaza jumbe mbalimbali za Kitaifa.

Akitoa taarifa ya Halmashauri ya Mji Mafinga kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Mji, Mratibu wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mji Mafinga Ndugu Henry Kapella amesema Mwenge Utakesha katika uwanja wa Mashujaa Katikati ya Mji wa Mafinga.


Kikao hicho kimehudhuriwa na  Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi Usalama Wilaya ya Mufindi, Waheshimiwa Wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya ya Mufindi, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi mbalimbali, Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri mbili za Wilaya ya Mufindi.


Imeandaliwa na


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.