• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YAPONGEZWA KWA KUSANYA MAPATO ASILIMIA 28 ROBO YA KWANZA

Posted on: November 20th, 2024

Halmashauri ya Mji wa Mafinga imepongezwa kwa kukusanya mapato kwa asilimia 28 kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/2025  kauli hiyo imesemwa   na  Mwenyekiti wa Halmashauri  Mheshimiwa Regnant Kivinge katika Baraza la Madiwani ambalo limefanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri.

Mheshimiwa  Kivinge ametoa pongezi hizo kwa Mkurugenzi pamoja na watumishi wote wa Halmashauri kwa kuendelea kukusanya mapato ambayo yanasaidia kuendesha  halmashauri na kusaidia kutatua kero za wananchi katika maeneo yao sambamba na hilo ametoa rai kwa watumishi kuongeza kasi ya ukasanyaji wa mapato ili kuweza kufikia lengo.

Aidha katika Baraza la Halmashauri Mheshimiwa Charles Makoga Diwani wa Kata ya Isalavanu ameshauri kuanzisha shule maalumu kwa ajili ya michezo kwani kwa sasa michezo ni ajira hivyo itasaidia vijana wengi kujiajiri kupitia michezo ambayo itasaidia   kukuza vipaji vyao na kujipatia kipato kupitia michezo .

Kwa upande mwingine Halmashauri ya Mji wa Mafinga imepongezwa na Baraza la Madiwani  kwa kundelea kufanya vizuri katika mshindano  na michezo mbalimbali  ambayo yanajumuisha Halmashauri mbalimbali  ikiwemo Shimisemita  ambapo Halmashauri imeibuka na ushindi wa makombe matatu    ambapo katika  mpira wa wavu  ilishinda nafasi ya kwanza , kwaya nafasi ya tatu, na katika ngoma imeshinda mshindi wa kwanza. Halmashauri ya mji mafinga pia imepongezwa  kwa  kushindi  wa nafasi ya kwanza  Kanda ya pili katika mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri amempongeza Mkurungenzi  Bi.Fidelica Myovela  pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo  kwa kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano na kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele  na pia kuwaletea  wananchi maendeleo na kutatua kero zao katika maeneo yao.

Imetolewana Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Mji Mafinga

 Michael Ngowi

 

 


Picha za matukio mbalimbali katika Baraza la madiwani ambalo limefanyika leo Halmashauri ya Mji Mafinga.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.