• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

JUMLA YA VIWANJA 2618 VIMEPIMWA NA ZOEZI LA UMILIKISHAJI LINAFANYIKA KATIKA CLINIC YA ARDHI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA”- KAMISHNA WA ARDHI MSAIDIZI MKOA WA IRINGA BI, REHEMA KILONZI

Posted on: September 17th, 2025

“Jumla ya Viwanja 2618 vimepimwa na vinaandaliwa Umiliki kwa Kata ya Upendo na Kinyanambo ambapo mwananchi anakuja na kuandaliwa Hati yake hapa na ikishakamilika ataitwa na kukabidhiwa lengo la Clinic hii ya Ardhi ni kuwafuata wananchi walipo na kuwapa huduma za Ardhi ikiwa ni pamoja na kutatua changamoto zote za Ardhi katika Mji Mafinga”


Kauli hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Iringa Bi, Rehema Kilonzi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari hizi kwenyezoezi la Clinic ya Ardhi katika Kata ya Upendo ndani ya Halmashauri ya Mji Mafinga.


Bi. Rehema amesema mpaka sasa jumla ya wananchi 341 wamehudumiwa ikiwa ni siku ya pili ya Clinic hii na viwanja 7445 vimepangwa kupimwa katika kata ya Upendo na Kinyanambo katika Halmashauri ya Mji Mafinga


Nae Afisa Ardhi Mteule Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Geofrey Kabuje amesema muitikio ni mkubwa sana , hivyo zoezi hili litakuwa ni endelevu katika Kata zote. Amesema huduma zinazotolewa ni pamoja na Kutayarishiwa Hati Miliki, Kupokea, kusikiliza na kutatua Migogoro ya Ardhi, Kutoa Ushauri wa Masuala mbalimbali ya Ardhi, Kukusanya Kodi ya Pango la Ardhi na kutoa Elimu juu ya Sheria za Ardhi.


“nimetumia dk 20 kuanzia, kupokelewa, kupatiwa bili ya malipo, kuandaliwa nyaraka hadi kusaini hati yangu.* nimepigiwa tu simu nije hapa hata sikudhani kama itakuwa haraka hivi nimeshangaa kweli Serikali imejipanga natamani hii huduma itolewe kata zote yaani nimehudumiwa vizuri naishukuru Serikali kwa kuamua kuwafuata wananchi hadi ngazi ya Kata na kutoa huduma za Ardhi” Amesema mwananchi aliyenufaika na huduma ya clinic ya Ardhi Kutoka kata ya Upendo Godfrey Mduda


Na Sima Mark Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano

Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • JUMLA YA VIWANJA 2618 VIMEPIMWA NA ZOEZI LA UMILIKISHAJI LINAFANYIKA KATIKA CLINIC YA ARDHI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA”- KAMISHNA WA ARDHI MSAIDIZI MKOA WA IRINGA BI, REHEMA KILONZI

    September 17, 2025
  • IKIWA NI SIKU YA KWANZA YA CLINIC YA ARDHI -ZAIDI YA WANANCHI 139 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAMEPATIWA HUDUMA

    September 16, 2025
  • MKURUGENZI MJI MAFINGA ASISITIZA UZINGATIAJI WA LISHE BORA KWA WATOTO -MAFINGA

    September 15, 2025
  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.