• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

IKIWA NI SIKU YA KWANZA YA CLINIC YA ARDHI -ZAIDI YA WANANCHI 139 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAMEPATIWA HUDUMA

Posted on: September 16th, 2025

Zaidi ya wananchi 139 katika Halmashauri ya Mji Mafinga hususan katika Kata ya Upendo wamepatiwa huduma katika Clinic ya Ardhi Halmashauri ya Mji Mafinga.


Akizungumza Afisa Ardhi Mteule Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Geofrey Kabuje kwa Niaba ya Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Iringa Bi Rehema Kilonzi amesema kuwa, ikiwa leo ni siku ya kwanza ya kutoa huduma hii muitikio umekuwa mkubwa sana ambapo jumla ya wananchi 139 wamepatiwa huduma ikiwemo huduma ya Kutayarishiwa Hati Miliki, Kupokea, kusikiliza na kutatua Migogoro ya Ardhi, Kutoa Ushauri wa Masuala mbalimbali ya Ardhi, Kukusanya Kodi ya Pango la Ardhi na kutoa Elimu juu ya Sheria za Ardhi.


Kabuje amesema zoezi la Clinic ya Ardhi katika Kata ya Upendo litafanyika kwa muda wa siku 6 kuanzia saa 2.30 Asubuhi mpaka saa 10.00 Jioni katika Ofisi ya Kata ya Upendo na zoezi linaendelea na litakuwa Endelevu kwa kata zote lengo likiwa kuhakikisha natatizo na changamoto za Ardhi zinatatuliwa na wananchi wanapata huduma za Ardhi kwa wakati



Na Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • JUMLA YA VIWANJA 2618 VIMEPIMWA NA ZOEZI LA UMILIKISHAJI LINAFANYIKA KATIKA CLINIC YA ARDHI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA”- KAMISHNA WA ARDHI MSAIDIZI MKOA WA IRINGA BI, REHEMA KILONZI

    September 17, 2025
  • IKIWA NI SIKU YA KWANZA YA CLINIC YA ARDHI -ZAIDI YA WANANCHI 139 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAMEPATIWA HUDUMA

    September 16, 2025
  • MKURUGENZI MJI MAFINGA ASISITIZA UZINGATIAJI WA LISHE BORA KWA WATOTO -MAFINGA

    September 15, 2025
  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AIPONGEZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA USIMAMIZI MZURI WA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2025.

    September 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.