• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

"KINA BABA TETEENI NAFASI ZENU,SIMAMIENI MAJUKUMU YENU" DC-MUFINDI SIKU YA FAMILIA DUNIANI

Posted on: May 15th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt linda Salekwa amesema imefika wakati wa Wazazi wahakikishe wanajibika katika malezi ya watoto kwani kwa kufanya hivo kutasaidia kupunguza matukio ya ukatili wa kijinsia.


" Ipo haja ya kurejea asili zetu katika familia Baba kama Baba na Mama kama Mama wakati ni sasa wakinababa kuhakikisha wanasimamia majuku yao yanayohusu familia pia wakina mama kuhakikisha wanasimamia nafasi zao kwa kufanya hivo kutapunguza matukio ya ukatili wa kijinsia katika jamii.

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi ameyasema hayo kwenye Maadhimisho ya familia duniani lengo likiwa ni kukumbushana umuhimu wa familia katika suala zima la maadili kwa jamii.

Nae Mkuu wa dawati la jinsia Afande Mary Haule amesema Wazazi wahakikishe wanapata muda wa kuzungumza na watoto wao kwani kufanya hivo kutapunguza matukio ya ukatili wa kijinsia na kutosita kutoa taarifa pindi watoto wanapofanyiwa matukio ya ukatili wa kijinsia  na watu wao wa karibu na kuepuka kuyamaliza masuala kifamilia kwa kufanya hivo kunachochea ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia katika jamii.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema tunawajibu wakukumbushana suala la maadili katika familia zetu kwani yapo mambo yanabidi tuyakemee kama ubakaji na ulawiti haya ni mambo yanayokosesha upendo katika familia zetu.

Maadhimisho ya siku ya familia duniani yamehudhuriwa na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya ya Mufindi, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mufindi, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Madiwani, Wananchi na Wafanyabiashara wa soko kuu la Mafinga.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO MAFINGA - TC

Christopher Mhina

Mwandishi wa Habari Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA TACTIC

    May 09, 2025
  • TUHAKIKISHE TUNAITUMIA SIKU HII ILIYOBAKI KUBORESHA TAARIFA ZETU NA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI

    May 09, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AMEFANYA ZIARA YA UFATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 08, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.