• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MAFINGA TC YANG’ARA SHIMISEMITA 2025 TANGA, YANYAKUA VIKOMBE VITATU NA MEDALI

Posted on: August 29th, 2025

Halmashauri ya Mji Mafinga imehitimisha kwa kishindo Mashindano ya Shirikisho la Michezo kwa Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA) 2025 jijini Tanga, kwa kunyakua vikombe vitatu na medali moja, ishara ya mafanikio makubwa katika Michezo.

Katika mashindano haya yanayomalizika leo tarehe 29 Agosti 2025, Mafinga TC imetwaa:

Nafasi ya pili katika mashindano ya Kwaya na Ngoma,

Nafasi ya tatu katika Uchoraji,

Na medali ya shaba (mshindi wa tatu) katika mbio za mita 1500 wanaume.

Akizungumza baada ya mashindano kumalizika, kiongozi wa timu ya Mafinga TC, Ndugu Mawasiliano Deule, amesema kuwa ushindi huo umetokana na ushirikiano madhubuti, juhudi na nidhamu ya hali ya juu miongoni mwa wanamichezo wote tangu maandalizi hadi siku za mashindano.

Aidha, ametoa shukrani kwa Uongozi wa Halmashauri ya Mji Mafinga ukiongozwa na Mkurugenzi Bi, Fidelica Myovella kwa ushirikiano walioupata wakati wote wa maandalizi na mashindano.

Mashindano ya SHIMISEMITA yamehitimishwa leo yakiwa yamebeba kauli mbiu “ Jitokeze kupiga kura kwa Maendeleo ya Michezo”.

Na,
Anna Mdehwa.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MAFINGA TC YANG’ARA SHIMISEMITA 2025 TANGA, YANYAKUA VIKOMBE VITATU NA MEDALI

    August 29, 2025
  • HULE YA SEKONDARI CHANGARAWE YATOA MOTISHA YA SHILINGI 8,040,000 KWA WALIMU AMBAO WANAFAULISHA VIZURI

    August 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA TAREHE 15-18/9/2025

    September 01, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA AWATEMBELEA WANAMICHEZO TANGA.

    August 24, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.