• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DKT LINDA SALEKWA AONGOZA KiKAO CHA USHAURI DCC WILAYA YA MUFINDI

Posted on: January 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt Linda Selakwa ameongoza kikao cha ushauri cha Wilaya (DCC) kilicho husisha Halmashauri mbili za Wilaya ya mufindi ambapo wamejadili rasimu za bajati 2025- 2026 za Halmashauri pamoja na Taasisi za TARURA na RUWASA pamoja na kupokea maoni ya wananchi na Azaki mbalimbali zisizo za kiserikali.


Katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt Linda Selekwa amewataka Wakurugenzi kuhakikisha katika bajeti hii ya sasa ni kusimamia miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa kwa mapato ya ndani ikiwemo uboreshwaji wa kiwanja cha michezo na ambayo yatasababisha wananchi kupata huduma iliyo bora ka kwa kiwangu cha juu .

Aidha Dkt Linda Selekwa ameagiza katika bajeti ya sasa ambayo imejadiliwa ni kuhakikisha inakuwa na bajeti ya kuwaangalia wazee pamoja na makundi mengine maalumu ikiwemo walemavu, vijana na wanawake katika Wilaya yetu pia ameongeza kwa kusema Halmashauri ni lazima zisimamie ukusanyaji wa mapato ili bajeti ziweze kutekelezeka ikiwemo kutenga bajeti kwaajili ya matengenezo ya barabara.


Akiwasilisha bajeti hiyo Afisa Mipango Ndugu Peter Ngusa amesema Kwa upande wa Halmashuri ya Mji Mafinga imepanga matumizi ya makadirio ya bajeti ya 2025- 2026 kutumia kiasi cha shilingi bilioni 31.4 ambapo mapato ya ndani yanakadiriwa kuwa ni shilingi bilioni 7.5 ambayo yatasaidia kuanziasha na kumilisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kutumia mapato ya ndani.


Kwa upande wa bajeti za Taasisi za TARURA na RUWASA Dk Linda amezitaka kuchukua ushauri na maoni yanayotolewa na wananchi ili kuhakikisha na kuweza kutatua changamoto za miundombinu ikiwemo barabara za maeneo mbalimbali za Wilaya ya Mufindi ili kuweza kupitika kirahisi na kufikisha huduma kwa wananchi. Na kwa upande wa RUWASA wametakiwa kuhakikisha wanasimamia bajeti zo na kusambaza huduma ya maji na kukamilisha miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa maji wa miji 28 ambao unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 48 katika Mji wa Mafinga.


Michael Ngowi Afisa Habari

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.