• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MAFINGA MJI WAFANYA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUPITIA UTEKELEZAJI WA KAZI ZA HALMASHAURI

Posted on: January 29th, 2024

Halmashauri ya Mji Mafinga inahakikisha watumishi wake wanafanya kazi katika mazingira yaliyoboreshwa ikiwa ni pamoja na kuwapandisha vyeo watumishi kwa wakati, kulipa madeni na kununua vitendea kazi kwaajili ya kuboresha utendaji wao, hatua hizi ni wazi zinaongeza morali kwa wafanya kazi kufanya kazi kwa bidii.

Hayo yamebainika kwenye Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la kawaida kupitia Utekelezaji wa Kazi za Halmashauri ya Mji Mafinga, Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji na kuhudhuriwa na  Wawakilishi kutoka vyama mbalimbali vya wafanyakazi kikiwemo CWT,TUGHE, TALGU  na Wakuu wa Divisheni na Vitengo .


Akisoma taarifa Ndugu Raineli Mwenda Afisa Utumishi amesema Halmashauri imekuwa ikifuata sheria na miongozo ya utendaji kazi katika kuamua masuala mbalimbali ya kazi.

Naye Ndugu Charles Mwaitege kwa niaba ua Mkurugenzi wa Mji amewataka watumishi kuendelea kufuata Sheria, kanuni na misingi ya Utumishi wa Umma jambo ambalo litaondoa migogolo yoyote katika Taasisi lilifuatwa.


Ameongeza kuwa Halmashauri ipo hatua za kukamilisha mkataba wa huduma kwa wateja ambao utakuwa ni makubaliano kati ya Halmashauri na wateja wake kuhusiana ma namna ya kutoa huduma zake.


Naye Afisa Kazi Mkoa wa Iringa Bi , Leorada Mbiki amesisitiza umuhimu wa Baraza la Wafanyakqzi kuwa ni chombo cha Juu kinachounganisha watumishi na Mwajiri hivyo ametoa pongezi

Kwa Mkurugenzi wa Mji Mafinga Ndugu. Ayoub Kambi kwa kufuata taratibu na Sheria za Serikali za Mitaa katika Utendaji kazi na lusimamia haki za watumishi.


Halmashauri ya Mji Mafinga inajumla ya watumishi 1177 kupitia Divisheni 9 vitengo 9 na vituo vya kazi 155.


Imetolewa na Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.