• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI WA MJI MAFINGA AHESABIWA TAREHE 23/8/2022 NA KUWAOMBA AMBAO BADO HAWAJAFIKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA MAKARANI WA SENSA WATAKAPOFIKIWA.

Posted on: August 25th, 2022

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AHESABIWA TAREHE 23/8/2022 NA KUENDELEA KUWAOMBA WANANCHI WA MAFINGA NA TAIFA KWA UJUMLA KUTOA USHIRIKIANO PALE TU WATAKAPOFIKIWA NA KARANI WA SENSA ILI KUHAKIKISHA SENSA INAFANIKIWA KWA MAENDELEO YA TAIFA LA TANZANIA.

“ Wananchi wa Mji Mafinga na Tanzania kwa ujumla zoezi hili limeanza Rasmi leo tarehe 23/8/2022 na kama alivyosema Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa nchi yetu ni kubwa sana, hivyo zoezi hili litaendelea kwa muda wa siku saba, na kama hujahesabiwa tarehe 23/8 hakikisha siku ukifikiwa na Karani wa SENSA utoe ushirikiano na taarifa za kuamkia tarehe 23/8 na si vinginevyo”

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji Mafinga Bi,Happiness Laizer baada ya kuhesabiwa nyumbani kwake  Mafinga, Mtaa wa Ivambinungu kata ya Boma.

Amesema zoezi hili ni muhimu katika Mipango Endelevu ya Nchi kwani mipango yote ya sekta mbalimbalimba za Elimu, Ujenzi, Uchumi, Afya, Ustawi wa jamii, kilimo na mingine inapangwa kutokana na SENSA ya watu na makazi ambapo kwa Tanzania zoezi hili hufanyika kila baada ya miaka kumi na kuwezesha Serikali kutambua idadi ya watu wake ili kurahisisha kupanga mipango ya nchi.

Zoezi la kuhesabiwa Mkurugenzi wa Mji Mafinga limefanywa na  karani wa SENSA Erick Haonga.

Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano-MAFINGA TC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.