• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MWENGE WA UHURU 2024 WAZINDUA MIRADI 9 YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI2.1

Posted on: June 23rd, 2024

MWENGE WA UHURU 2024 WAZINDUA MIRADI 9 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.1 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.


Halmashauri ya Mafinga Mjini imeupokea Mwenge wa Uhuru leo tarehe 23/06/2024 

na jumla ya miradi 9 ya Maendeleo imepitiwa na Mwenge huo.

Akiupokea Mwenge katikq Viwanja vya Shule ya Msingi Wambi, Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa amesema Mwenge wa Uhuru utapita katika Miradi 9 ya Maendeleo ambayo ipo katika kata 5 kati ya 9 na utakimbizwa kilometa 49.9.    

Mwenge wa Uhuru 2024 umekagua shughuli za kuwawezesha wanafunzi wenye mahitaji Maalumu katika Shule ya Msingi Makalala Katika ukaguzi huo Mkimbiza Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amekabidhi viti mwendo viwili (2) kwa watoto wenye uhitaji vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ili kuwasaidia watoto wenye uhitaji.

Katika hatua nyingine Mnzava amesema kutokana na mauaji yaliyotokea ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ameagiza kamati za usalama wilaya zote kuwalinda watoto wenye ulemavu wa ngozi na kuwatambua kwa idadi kupitia kupitia maafisa ustawi wa jamii.


Kwani nao wana haki ya kulindwa kama watu wengine na hili limedhihirishwa  na Serikali ya Awamu ya sita  chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto hao wenye uhitaji Maalumu.

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO- MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.