• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

RC-SERUKAMBA KUMALIZA KIZUNGUMKUTI CHA VIBANDA 331 VYA BIASHARA KATIKA SOKO LA MAFINGA

Posted on: April 5th, 2024

RC- SERUKAMBA KUMALIZA KIZUNGUMKUTI CHA VIBANDA 331 VYA BIASHARA KATIKA SOKO LA MAFINGA.


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa  Peter Serukamba leo  tarehe 5/4/2024 akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Iringa amezungumza ma Waheshimiwa Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Mji Mafinga na kuahidi kumaliza kizungumkuti cha Vibanda331 vya Biashara katika Soko la Mafinga na kuahidi kukutana na mmiliki wa kila kibanda kabla ya mwezi wa tano.

“ Kama kuna Mheshimiwa Diwani au Mtumishi anachochea kutomalizika kwa maridhiano ya vibanda hivi ajiandae. Nitahakikisha mimi na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa tunakuja kuweka Kambi na kukutana na Mmiliki wa kila kibanda, nasisitiza sio mpangaji Mmiliki wa kibanda na hapo taratibu nyingine zitafuata.”


“Aidha kuhusu mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya vijana wanawake na watu wenye ulemavu, Kama kuna mtumishi au Mheshimiwa Diwani anajua alichukua fedha hizo za vikundi ahakikishe ndani ya mwezi mmoja amerudisha fedha hizo, sina utani katika hili”

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amesisitiza mambo yafuatayo:-


Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani,


Ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo


Afua za Lishe


Taarifa ya M-mama


Taarifa ya CAG.


Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuhakikisha Miradi ya Maendeleo inasimamiwa ili ikamilike kwa wakati na Juhudi ziongezwe katika ku kusanya mapato ya Serikali kwani mapato yakikusanywa na Maendwleo yanapatikana.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa George Kavenuke, KATIBU Tawala Mkoa wa Iringa Bi, Dorise Kalasa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt . Linda Salekwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Fidelica Mnyovella.


Imeandaliwa na Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.