• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

UJENZI WA MADARASA MATATU NA OFISI MOJA SHULE YA SEKONDARI CHANGARAWE (FEDHA ZA TOZO)-MAFINGA TC

Start Date: 2019-12-01
End Date: 2021-09-04

UJENZI WA MADARASA MATATU NA OFISI MOJA SHULE YA SEKONDARI CHANGARAWE (FEDHA ZA TOZO)-MAFINGA TC

Ujenzi wa vyumba vitatu na Ofisi katika Shule ya Sekondari Changarawe ulianza kutekelezwa mwezi Disemba 2019. Ujenzi kuanzia hatua ya Msingi hadi kukamilisha ikiwa ni pamoja na ununuzi wa samani umeshirikisha Serikali kuu, nguvu za wananchi na Halmashauri.

Lengo la Mradi huu ni kufanikisha adhma ya Serikali ya Kuboresha Mazingira ya kufundishia na kujifunzia na hatimae kupata ufaulu mzuri kwa wanafuzi ambao watakuwa watalamu wa Nyanja mbalimbali kwa kuajiriwa ama kwa kujiajiri wenyewe.

Mradi huu wa Ujenzi wa Vyumba vitatu vya madarasa Changarawe Sekondari umegharimu kiasi cha Sh. 59,732,915.00 kati ya fedha hizo wananchi walichangia shilingi 1,800,000.00, Halmashauri shilingi 19,432,915.00, Mfuko wa jimbo Sh 1,000,000.00 Serikali Kuu kupitia fedha  za TOZO ya miamala ya simu shilingi 37,500,000.00

Akizungumza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi Happiness Laizer amesema wananchi wa Kata ya Changarawe walionyesha juhudi kubwa kwa kuanzisha ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na ofisi moja mwaka 2019 kwa kuona na kuthamani mchango wa Wananchi Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani ikachangia kiasi cha shilingi milioni 19,432,915.00 na baadae Serikali Kuu ikalete kiasi cha shilingi milioni 37,500,000.00 fedha ya TOZO ya miamala ya Simu ili kukamilisha madarasa hayo ambayo yamekamilika.

Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wanatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya Sita chini  ya Uongozi thabiti wa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada mbalimbali za kuleta Maendeleo Halmashauri ya Mji Mafinga.

Wanufaika wa mradi huu ni jamii ya Kata ya Changarawe na maeneo ya jirani.

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO-MAFINGATC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • LIPIA ADA YA LESENI YA USAFIRISHAJI( LATRA)MAFINGA FIKA OFISI YA BIASHARA AU TUPIGIE 0754-340059 February 02, 2023
  • MAENDELEO YA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA CHIEF MKWAWA ACADEMY-HATUA YA RANGI March 20, 2023
  • ZIJUE RANGI MBALIMBALI ZA UPAUAJI WA MAJENGO KWA KILA KATA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA-TUPIGIE 0767857907 March 20, 2023
  • KILA LA KHERI WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA KWENYE MTIHANI WENU WA TAIFA 2/5/2023 April 17, 2023
  • View All

Habari mpya

  • DC- MUFINDI AZUNGUMZA NA UMOJA WA WAVUNAJI SAOHILL (UWASA)

    June 07, 2023
  • KATIBU MKUU CHAMA CHA MAPINDUZI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA IFINGO-MAFINGA TC

    May 29, 2023
  • HATUA ZA KUKATA LESENI KWA MFUMO MPYA WA TAUSI- MAFINGA TC

    May 18, 2023
  • HATUA ZA KUKATA LESENI KWA MFUMO MPYA WA TAUSI- MAFINGA TC

    May 18, 2023
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.