• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

AFISA ELIMU SEKONDARI ASISITIZA UZINGATIAJI WA MALEZI KWA WANAFUNZI-MAFINGA

Posted on: October 20th, 2025

Afisa Elimu Sekondari katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga Ndugu Stephen Shemdoe amehudhuria Mahafali ya kwanza ya kuhitimu Kidato Cha Nne kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyamalala katika Mji wa Mafinga kwenye Viwanja vya Shule hiyo na Kuwatunuku Vyeti Wahitimu hao na kuwasisitiza Wazazi kuzingatia Malezi ya Wanafunzi.


Akiongea katika Mahafali hayo Ndugu Shemdoe amesema Wazazi ni Wajibu wao kuwalea Wanafunzi vizuri kwa kufuata Misingi ya Nidhamu pia Wanafunzi walelewe kwa kufundishwa Maadili kwa kuepuka Ngono,Uvutaji bangi na vitendo hatarishi vinavyohusisha uvunjivu wa Amani pia Wanafunzi wafundishwe Kazi za mikono kama kulima bustani za Mboga na Matunda ambazo zinaweza kuwasaidia kujikwamua kiuchumi bila kutegemea Wazazi.


Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Nyamalala Ndugu Jimu Nziku amesema anashukuru Uongozi wa Shule kwa kuonyesha Ushirikiano na Wazazi wa Wanafunzi pia amewasihi Wanafunzi waliohitimu Kidato Cha Nne Kuzingatia mafundisho waliyofundishwa Darasani wanapokwenda Kufanya Mitihani pia wawe Kioo kwa Jamii wanayokwenda kuishi nayo.


"Zingatieni Nidhamu na Maadili Mliyofundishwa na Wazazi na Walimu wenu kwa kipindi Cha Miaka minne Mliyotumia kusoma na Mkawe mfano Bora wa kuigwa kwa Jamii" amesisitiza Ndugu Nziku.


Naye Mzazi wa Wanafunzi waliohitimu Kidato Cha Nne Bi;Ajentina Kilufi amesema kwa niaba ya Wazazi anashukuru Mungu kwa Wanafunzi Kuhitimu pia anashukuru Wazazi na Walimu kwa Malezi na Elimu waliyowapatia Wahitimu hao na Jitihada za Mkuu wa Shule katika Usimamizi wa Walimu, Wanafunzi na Miradi ya Maendeleo ya Shule.


Pamoja na hayo Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyamalala Ndugu Ezekieli Mwakalomba amesema anawapongeza Wahitimu wote wa Kidato Cha Nne kwa kuzingatia Malezi, Nidhamu na Elimu waliyopewa hapo Shuleni hivyo wakawe Vioo kwa Jamii,pia amemshukuru Mhe;Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia Fedha za Ujenzi na Uongozi wa Halmashauri ya Mji Mafinga ukiongozwa na Mkurugenzi Bi; Fidelica Myovella na Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari kwa kuwasimamia kikamilifu katika Mipango ya Maendeleo ya Ujenzi wa Shule.


Nasri Mwinyi

Afisa Habari- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.