• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

ALIYEKUWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AKABIDHI OFISI KWA MKURUGENZI WA SASA NDUGU AYOUB KAMBI.

Posted on: June 15th, 2023

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer(Sasa Mkurugenzi Monduli)amemkabidhi ofisi Mkurugenzi wa Sasa Ndugu, Ayoub Kambi.

 

Akikabidhi sheria, miongozo na kanuni za Halmashauri Bi, Happiness Laizer amesema kuwa Lengo la Mheshimiwa Rais ni kuona wananchi wanapewa huduma bora, miradi ya maendeleo inasimamia kwa ufanisi na mapato yanakusanywa hivyo uwepo wako hapa mafinga umeaminiwa na Mheshimiwa Rais na ushirikiano wa watumishi utakusaidia katika utendaji wako wa kazi.

Aidha amewaomba watumishi na wakuu wa Idara kumpa ushirikiano Mkurugenzi Ayoub Kambi ili kazi yake iwe rshisi na afikie malengo.


Naye Mkurugenzi wa Mji Mafinga Ndugu, Ayoub Kambi amesema ataendelea pale alipoishia Bi, Happiness na kuomba ushirikiano na wakuu wa Idara ili kuweza kufikia malengo ya Mheshimiwa Rais ya kutatua kero na shida za wananchi


Akihitimisha Hafla hiyo ya makabidhiano, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema hakika Mkurugenzi Lazer aliweza kufikia malengo kwenye sekta ya elimu Mafinga iliongoza, mapato iliongoza kwa mwaka 2021/2022 na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.


“Mkifanya vizuri nyie wataalamu kwenye kukusanya mapato, kusimamia Miradi ya Maendeleo sisi waheshimiwa Madiwani tunatembea kifua mbele, tukuhakikishie Mkurugenzi Ayoub Kambi ushirikiano kutoka kwa waheshimiwa madiwani na wataalamu ili uweze kufikia malengo yako.Pia tukutakie kila lakheri Mkurugenzi Bi, Happiness Laizer kwenye kituo chako kipya cha kazi na tukupongeze kwa kuendelea kuaminiwa na Rais.


Tarehe 7 Juni, Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan alifanya Teuzi za Wakurugenzi wa Halmashauri na Makatibu Tawala wa Wilaya ambapo katika Uteuzi huo Ndugu Ayoub Kambi aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mji Mafinga na Bi, Hqppiness Laizer kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Monduli.


Makabidhiano yamefanyika katika Ukumbi wa Mkurugenzi na kuhudhuriwa na waheshimiwa Madiwani wa Kamati ya Fedha na wakuu wa Idara Halmashauri ya Mafinga.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-


Sima Bingileki


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Mafinga TC

 

 

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.