• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

Posted on: August 13th, 2025

Halmashauri ya Mji Mafinga kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imeendesha mafunzo kwa vikundi ambavyo vinanufaika na mikopo ya asilimia kumi mafunzo hayo yamelenga namna  ya kufanya biashara na kuongeza thamani ya bidhaa ili mikopo watakayopewa iwe na tija na kuwainua kiuchumi katika mafunzo hayo ambayo yamejumisha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye  walemavu mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa CCM Wilaya ya Mufindi.


Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji Mafinga Bi Fedelica Myovela ametoa rai kwa vikundi vyote vya  wanufaika wa mikopo kuhakikisha wanasimamia malengo yao ambayo wameyapanga, na pia kuhakikisha wanatumia wataalamu waliopo katika shughuli zao Halmashauri inawataalamu wote wa biashara, kilimo na mifugo ili kuwapa mafunzo na kuendesha miradi kitaalamu lengo la serikali ni kuhakikisha inawainua wananchi kiuchumi.


Mafunzo hayo ambayo yametolewa kwa vikundi  26  kutoka Kata zote za Halmashauri ya Mji Mafinga ambavyo vimepatiwa mafunzo mbalimbali ikiwemo ya kuongeza thamani ya bidhaa ambazo wanazalisha ili kuhakikisha wanawafikia wateja na kukuza mitaji yao na kuongeza mauzo ,pia wamepewa mafunzo ya kutumia teknolojia mpya ambazo zimekuwa zikisaidia kuongeza ufanisi na kupunguza gharama katika uzalishaji wa bidhaa zao hata hivyo wamekumbushwa kutoa huduma bora kwa wateja wao ili kuweza kumudu soko na ushindani uliopo katika biashara na ujasiriamali.


Katika mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Elias Msuya  amesema lengo la mafunzo haya ni kuwajengea uwezo uwezo na ufanisi wanufaika wote namna ya kusimamia mikopo yao  ili kuepuka  anguko la kibiashara au kutozalisha  jambo litakalowezesha kurejesha na kumaliza mikopo.


Aidha Afisa Mipango Ndugu Piter Ngusa amewaeleza wanufaika wa mikopo hiyo kuhakikisha wanakuwa na nidhamu ya fedha na vitu wanavyofanya na pia kuepuka kuanzisha miradi mipya ambayo wajaipanga jambo litakalopelekea kushindwa kurejesha mikopo waliyopatiwa pia kuhakikisha wanatumia wataalamu.


Michael Ngowi  Afisa Habari.




Baadhi ya wanufaika wa mikopo ya asilimia kumi wakiendelea kupata mafunzo kutoka kwa wataalamu mbalimbali.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.