• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BAJETI YA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 KIASI CHA TSH 29,312,377,819.00 YAPITISHWA NA DCC MUFINDI

Posted on: February 23rd, 2023

“Tumepitisha bajeti hii hakikisheni mnaisimamia, hiki kiwe ni kiapo chenu na sisi tutawahukumu kwa hili msipoitekeleza.Mmeiandaa wenyewe na mhakikishe mnaitekeleza. Pia miradi yote mnayoianzisha hakikisheni mnaikamilisha kwa wakati na thamani ya fedha iendane na miradi husika. Tuepuke kuanzisha miradi mizigo isiyotekelezeka”

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa kwenye kikao cha Kamati ya Ushauri cha Wilaya

( DCC) kwaajili ya kupitisha Mpango wa Bajeti ya Halmashauri ya Mji Mafinga kwa mwaka wa fedha 2023/2024 yenye thamani ya TSH 29,312,377,819.00.


Akiwasillisha Taarifa mbele Kamati hiyo, Mkuu wa Idara ya Mipango  na Uratibu Ndugu, Apolinary Seiya kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema kuwa katika fedha hizo,

- Bilioni  6.790 ni kwaajili ya Miradi ya Maendeleo

 -Bilioni 16.539 Mishahara

-Bilioni 5.982 Matumizi mengineyo .

Ameongeza kuwa katika mapato hayo Halmashauri inatarajia kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 6.283 mapato yake ya ndani ambapo Bilioni 1.388 ni mapato fungiwa na Bilioni 5.339 mapato Halisi.

Amevitaja vipaumbele vya Halmashauri vilivyojumuishwa kwenye Mpango na Bajeti wa mwaka wa fedha 2023/2024 kuwa ni:-

-Kuimarisha Utawala Bora kwa kuzingatia,demokrasia, Utawala wa sheria,

-Ukusanyaji wa Mapato

-Kutekeleza miradi mipya na kukamilisha miradi viporo katika sekta ya Elimu , Afya, Utawala na huduma za Jamii. Pia kuimarisha hali ya Usafi na mazingira.


Akichangia kuhusu miradi itakayotekelezwa katika bajeti hiyo, Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mheshimiwa Cosato Chumi amesema kuwa Mji wa Mafinga unakuwa kwa kasi kubwa hivyo lengo ni kuhakikisha wananchi na wafanyabiashara wanafanya kazi katika mazingira mazuri hata nyakati za usiku kwa kuweka taa za barabarani.

Ameshauri kuongeza kwa ujenzi wa shule za mchepuo wa kingereza kwani, shule hizo zitaongeza ajira, wanafunzi watapata elimu kwa lugha ya kingereza kwa gharama ndogo na kuongeza mapato ya Halmashauri.

Kikao cha kamati kimehudhuriwa na viongozi wa Chama na Serikali,watendaji wa kata viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini na wananchi mbalimbali.


Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Halmashauri Ya Mji Mafinga.


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.