• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BENKI YA CRDB MAFINGA KATIKA KUADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA IMETEMBELEA OFISI KUU HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Posted on: October 9th, 2023

BENKI YA CRDB- MAFINGA katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja imetembelea Ofisi Kuu Halmashauri ya Mji Mafinga kukutana na Timu ya Menejimenti ikiongozwa na Mkurugenzi Ndugu, Ayoub Kambi ikiwa ni kutambua mchango wa Halmashauri ya Mji Mafinga kwa Benki ya CRDB na kufafanua fursa mbalimbali zinazopatikana CRDB BENKI.


Akizungumza Meneja CRDB Kanda ya Kati Bi, Chabu Mishwaro amesema kila wiki ya Kwanza ya  mwezi wa kumi Ni Wiki ya Huduma kwa Wateja hivyo, CRDB inatambua na kuthamini mchango wa Halmashauri ya Mji Mafinga kwa ustawi wa Benki ya CRDB  kwani MJI MAFINGA ni Taasisi mteja katika Benki hiyo.


“ Lengo la CRDB ni kusogeza Taasisi hii Karibu kabisa na wananchi na kuhakikisha CRDB Inasonga mbele.

Tuna fursa nyingi sana kwenye Benki yetu ya CRDB ikiwemo Uwekezaji- Akaunti Maalumu, Dhahabu, Green bond, IMBEJU,Bima, wastaafu, TAUSI. Fursa hizi zote zinatolewa na Benki ya CRDB. Hivyo tupo hapa kwanza kuthamini mchango wenu na Pia kuwapa fursa hizi kutoka Benki ya CRDB”


Amesema CRDB Ipo tayari kuendelea kufanya kazi na Halmashauri ya Mji Mafinga Hasa katika Sekta ya Uwezeshwaji Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwa kuendelea kuyainua makundi hayo kutoka katika Umaskini na kuwainua kiuchumi.


Nae Meneja wa CRDB Tawi la Mafinga Ndugu Lusekelo Haidi amesema uongozi wa Mji Mafinga umekuwa ukiwapa ushirikiano wa Kutosha benki  ya CRDB na Akaunti zimekuwa zikifunguliwa kutoka Wadau mbalimbali wa Halmashauri.


Akitoa Shukrani Kwa niaba ya Timu ya Menejimenti Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Ayoub Kambi amesema hakika Benki ya CRDB Ina fursa mbalimbali ambazo zinaweza kuisaidia Halmashauri hivyo akawaomba Wakuu wa Divisheni za Mipango, Biashara na Fedha Kukaa na watalaamu kutoka CRDB na kuona jinsi ambacho wanaweza kuisaidia Halmashauri kwenye Masuala mbalimbali yahusuyo uwekezaji na Miradi ya Maendeleo.


Mada mbalimbali zimewasilishwa na watalaamu kutoka CRDB KANDA YA KATI na baadae wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Mafinga kwa Kuteuliwa kwake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan


Imeandaliwa na Kitengo Cha Mawasiliano- Serikalini -MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC



Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.