• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BENKI YA NMB MAFINGA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA KWA KUKABIDHI VITANDA 8 VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 5 KWA ZAHANATI YA RUNGEMBA - MAFINGA MJI

Posted on: October 8th, 2025

BENKI YA NMB MAFINGA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA KWA KUKABIDHI VITANDA 8 VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 5 KWA ZAHANATI YA RUNGEMBA - MAFINGA MJI.


Akizungumza Meneja wa NMB Tawi la Mafinga Bwana Focus Simeon Lubende akiwa ameambatana na Beatrice Kalutu Meneja kutoka NMB Makao Makuu amesema NMB katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja inaungana na Serikali katika kuhakikisha inatokomeza vifo vya Mama na mtoto kwa kukabidhi vitanda 4 vya wakina mama kujifungulia na vitanda 4 kwa wagonjwa wa kawaida vyenye thamani ya shilingi milioni ppp.


Amesema NMB inautaratibu wa kurudisha sehemu ya faida yake kwa jamii hasa katika sekta ya Elimu na Afya, hivyo kutokana na Mahusiano Mazuri ya Serikali na NMB Focus imeahidi kupitia NMB kuendelea kutoa sehemu ya faida kwa jamii na kushirikiana na Serikali katika nyanja zote hususan Elimu na Afya na kuomba wananchi kuendelea kuitumia NMB.


Akishukuru kwa Msaada huo Mkurugenzi Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovella kwa Niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa ameishukuru Benki ya NMB tawi la Mafinga kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuchangia Maendeleo ya Nchi hasa katika kuzuia vifo vya Mama na Mtoto.


Amesema vifaa hivyo vitatunzwa ili viweze kutoa huduma kwa jamii kama ambavyo lengo la NMB lilivyo katika kuchangia faida yake kwa Jamii hasa katika Sekta ya Elimu na Afya.


Naye mwananchi Bi Atu Kadege ambaye ni Mjumbe wa Ujenzi Zahanati ya Rungemba amesema wanaishukuru NMB kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuboresha huduma za Afya na Elimu Tanzania hasa kwa Halmashauri ya Mji Mafinga hususan katika Zahanati ya Rungemba kwa kuipatia vitanda 8 ambapo vitanda 4 vya wakinamama kwaajili ya huduma ya kujifungu na vitanda 4 vya wagonjwa wa kawaida.


Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Mji Mafinga na watumishi mbalimbali wamehudhuria makabidhiano hayo ya NMB katika kusherehekea Wiki ya Huduma kwa Mteja.


Imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.