• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BENKI YA NMB YATOA MIKOPO YA PIKIPIKI- MAFINGA

Posted on: February 1st, 2023

Benki ya NMB Tawi la Mafinga imetoa mikopo ya Bajaji 9 , BodaBoda 5 na Guta 1  kwa Wanachama wa Umoja wa Wasafirishaji Mafinga,Hii ni mikopo ya awamu ya pili kutolewa na Benki ya NMB kwa Madereva na Wamiliki wa vyombo vya usafirishaji.

Akizungumza Meneja wa Benki NMB Tawi la Mafinga, Bw Focus Lubende amezitaja sifa za kuweza kukopa kuwa ni uwe Mwanachama  Chama cha Bodaboda au Bajaji,Kuwa mteja wa NMB na kuwa waaminifu katika mikopo wanayopatiwa.

Nae Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya Mufindi, Bw Dickson Mtevele ame shauri Jeshi la Polisi lisiwe chanzo cha kuwabambikiza makosa madereva Bajaji na Bodaboda kwa maslahi yao binafsi katika Hafla ya kupokea mikopo ya Bajaji na BodaBoda.Pia ameishauri NMB kuendelea kuwakopesha vijana baada ya miezi mitatu kama wameweza kuwakopesha Bodaboda na Bajaji.

Aidha Mwenyekiti wa Bajaji Bw Harun Manga ameishukuru Benki ya NMB kuwapatia Mikopo ambayo  itaenda kuboresha maisha yao.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Katibu wa CCM Wilaya Bi  Frida Kaaya,Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mafinga,Afisa Biashara Mafinga Mji Bw  Evance Mtikile  ,Diwani Kata ya Boma Mheshimiwa  Julius Kisoma , Taasisi ya Fedha MUCOBA PLC na Wanachama Wamiliki Bajaji na Bodaboda.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

Christopher Mhina

Mwandishi wa Habari Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.