• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

BILIONI 1 KUTUMIKA KUWEKA TAA 180 ZA BARABARANI KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Posted on: April 5th, 2023

BILIONI 1 KUTUMIKA KUWEKA TAA 180 ZA BARABARANI KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.


Halmashauri ya Mji Mafinga tarehe 5/4/2023 imesaini mkataba na REA  wa Shilingi milioni 500 kwaajili ya  uwekaji taa 180 za barabarani ambapo Halmashauri ya Mji Mafinga pia itachangia shilingi Milioni 500 na kufanya thamani ya Mradi kuwa Bilioni 1.


Akizungumza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema Mradi utasaidia Kuongeza na kukuza UCHUMI wa Mji Mafinga na wafanyabiashara kufanya biashara kwa uhuru na usalama wa wananchi wa Mji Mafinga utaongezeka ikiwa ni pamoja na kuweka Muonekano mzuri wa Mji.


“ Mradi huu una thamani ya shilingi Bilioni 1 na unatekelezwa na Pande zote mbili REA na Halmashauri ya Mji Mafinga ambapo Milioni 500 zitachangiwa na Halmashauri ya Mji Mafinga kutoka Mapato yake ya ndani na Milioni 500 Ni ufadhili kutoka REA(Wakala wa Nishati Vijijini) “ Kivinge, Mwenyekiti wa Mji Mafinga.



Nae Mbunge wa Mafinga Mjini Mheshimiwa Cosato Chumi amesema ni fahari sana kwa wananchi wa Mji Mafinga kupata Mradi huu wa taa za barabarani ambazo zitawekwa umbali wa kilomita 5.

“ wananchi wa Mafinga wamekuwa wakisubiri Mradi huu kwa shauku sana na wafanyabiashara wa Mji Mafinga watafanya biashara zao Masaa 24, tumepambana sana kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mji Mafinga mpaka mradi umekuja, sasa hizi ni taa kwaajili ya Mji wetu na ni wajibu wetu kuzitunza .

Akitoa takwimu za Mradi huo Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema kuwa Mradi utatekelezwa kwa siku 120 baada ya kusainiwa mkataba na maeneo yatakayoguswa na mradi  uwekaji wa taa za barabarani ni

-Kinyanambo A,B,C umbali wa km 1.9

-Mafinga Hospitali km 0.2

-CF plazer- tanki la maji pipeline km 0.4

-NSSF- Bomani km 0.9

-Luganga- Mgololo km 0.1

-Mashujaa - Royal Park Hotel km 0.2

-Chaibora- Dembe km 0.1

-NMB-mashujaa-Mashine ya mpunga km   1.2

Aidha Bi, Laizer ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa malengo yake kupitia  Wakala wa Nishati Vijijni REA kuhakikisha wananchi wote Tanzania Hasa maeneo ya vijijini wanapata nishati bora na Mji wa Mafinga unakuwa kiuchumi kwa kuweka taa 180 za barabarani.


Uwekaji saini umefanywa na Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy, Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer, Wakili wa Serikali, Msomi Gasper Kalinga, Mwanasheria wa REA Musa Muze na kushuhudiwa na Mwenyekiti wa Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge, Mbunge wa Mafinga Mjini Mheshimiwa Cosato Chumi na Mkurugenzi wa Uendelezaji masoko na Teknolojia Mhadisi Advera Mwijage Jijini Dodoma.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Mafinga Tc

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.