• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DAS MUFINDI AHIMIZA KILIMO ENDELEVU CHA MBOGAMBOGA ILI KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

Posted on: November 18th, 2024

Tuhakikikishe Elimu tunayotoa kwa wananchi kuhusu kilimo cha mboga mboga katika kupambana na Utapiamlo katika Jamii zetu kinakuwa kilimo cha mboga Endelevu kama vile tembele,chainizi,Kisamvu


Akizungumza katika Kikao cha Tathmini ya viashiria vya Mkataba wa Lishe

Kwa Kipindi cha robo ya kwanza 2024-2025 kilichofanyika katika ukumbi wa HAlmashauri ya Mji Mafinga Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu Reuben Chongolo amesema, suala la utoaji wa Elimu ya Utapiamlo liwe ni agenda ya kudumu kwenye vikao mbalimbali katika ngazi ya kijiji, Mtaa hadi Kata ili kuwapa ufahamu wananchi ni mboga gani zinafaa katika kapamana na Utapiamlo kwenyr Jamii .


Akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Mikataba ya Lishe Bi Josephine Kazungu Afisa Lishe Halmashauri ya Mji Mafinga amesema kuwa Kwa robo ya kwanza Kata zote 9 zimefanya vikao vyq Maendeleo na Agenda ya lishe ilijadiliwa na hali ya upqtikanaji wa Chakula cha Mchana Mashuleni ambapo ilielezwa kuwa Shule zote zinatoa chakula cha Mchana kwa wanafunzi


Amesema kwa robo ya kwanza Jumla ya wakazi 721 kutoka Kata ya Upendo wamepatiwa Elimu ya Lishe kupitia mikutano ya hadhara katika Mitaa Mitano 5 ya Amani, Balali, Lumwago, Mgodi na Mbagala.


Katika Kikao hicho kilichohudhuriwa na Mkurugenzi Mji Mafinga Bi Fidelica Myovella, Watendaji wa Kata zote 9, Wakuu wa Idara na Vitengo na Maafisa Tarafa kutoka Wilaya ya Mufindi


imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Mkuu wa Kitengo - Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YA FANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    May 13, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMESEMA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOFANYA KAZI KWA KARIBU SANA NA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI WAKE

    May 13, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA ASHIRIKI MKUTANO WA WANANCHI KIJIJI CHA ITIMBO KATA YA RUNGEMBA

    May 12, 2025
  • TASAF III YACHANGIA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 22 SHAMBA LA MITI EKARI 11 KIJIJI CHA ITIMBO KUPITIA WANUFAIKA WA TASAF

    May 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.