• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DC-MUFINDI AKABIDHI PIKIPIKI 16 KWA MAAFISA UGANI NA KILIMO WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: March 14th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt linda Salekwa amekabidhi Jumla ya Pikipiki 16 kwa Maafisa Ugani na Kilimo wa Halmashauri ya Mji Mafinga ambapo pikipiki hizo zitakwenda kutatua kero na changamoto za Wakulima katika kupata taarifa za mbolea .


Akizungumza baada ya kukabidhi pikipiki hizo kwa Maafisa Ugani na Kilimo Mkuu wa Wilaya ya Mufindi amesema yuko nao pamoja Maafisa Ugani na Kilimo kuhakikisha wanafanya kazi ipasavyo kwani lengo lililokusudiwa ni kufanya kazi kwa vitendo na likawe deni kwao katika kutekeleza shughuli za Mh.Raisi katika kuleta maendeleo pia amesisitiza suala la uwajibikaji kwa kila mtu kwa wakati pasina kusukumwa.


Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji Mafinga amesema huu ndio Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi lazima wahakikishe wanaisimamia katika katika kutekeleza miradi ya maendeleo pia amempongeza Mh.Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuweza kuona changamoto zilizokuwepo za vitendea kazi vya Usafiri kwa Maafisa Ugani na Kilimo.


Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bw. Regnant Kivinge amesema Pikipiki hizo zitakwenda kutatua changamoto za usafiri zilizokuwepo kwa Maafisa Ugani na Kilimo kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambazo zilikuwa ngumu kuzifikia ndani ya Halmashauri ya Mji Mafinga,aidha matarajio ya Maafisa Ugani na Kilimo ni kuongeza uzalishaji kwa kiwango cha juu na kuanzisha mashamba darasa kila mahali baada ya kupata pikipiki hizo.


Makabidhiano hayo yamehudhuriwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi.Happinez laizer,Mkuu wa Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji Mafinga,Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi,Maafisa Ugani na Kilimo wa Halmashauri ya Mji Mafinga na Viongozi wa Ulinzi na Usalama wa Halmashauri ya Mji Mafinga.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI


Christopher Mhina

Mwandishi wa Habari Mafinga Mafinga TC

Matangazo

  • LIPIA ADA YA LESENI YA USAFIRISHAJI( LATRA)MAFINGA FIKA OFISI YA BIASHARA AU TUPIGIE 0754-340059 February 02, 2023
  • MAENDELEO YA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA CHIEF MKWAWA ACADEMY-HATUA YA RANGI March 20, 2023
  • ZIJUE RANGI MBALIMBALI ZA UPAUAJI WA MAJENGO KWA KILA KATA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA-TUPIGIE 0767857907 March 20, 2023
  • KILA LA KHERI WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA KWENYE MTIHANI WENU WA TAIFA 2/5/2023 April 17, 2023
  • View All

Habari mpya

  • DC- MUFINDI AZUNGUMZA NA UMOJA WA WAVUNAJI SAOHILL (UWASA)

    June 07, 2023
  • KATIBU MKUU CHAMA CHA MAPINDUZI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA IFINGO-MAFINGA TC

    May 29, 2023
  • HATUA ZA KUKATA LESENI KWA MFUMO MPYA WA TAUSI- MAFINGA TC

    May 18, 2023
  • HATUA ZA KUKATA LESENI KWA MFUMO MPYA WA TAUSI- MAFINGA TC

    May 18, 2023
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.