• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DC MUFINDI AFANYA ZIARA VIWANDANI-MAFINGA

Posted on: October 10th, 2023

“ Kila mwekezaji mwenye Kiwanda ahakikishe kwenye kiwanda chake kuna akiba ya maji kuanzia lita laki 1 kwaajili ya majanga ya moto pindi yanapotokea kulingana na shughuli zinazofanywa kiwandani hapo au eneo la jirani.”


Kauli hiyo imetolewa na DC- Mufindi Mheshimiwa Dkt.Linda Salekwa akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama siku ya kwanza ya ziara yake viwandani kuongea na wafanyakazi kuchukua kero na kusikiliza  changamoto za Wawekezaji.


Amesema Majanga ya moto pindi yanapotokea Jeshi la zimamoto linatimiza wajibu wake lakini ni vyema kila kiwanda kiwe na akiba ya maji kwaajili ya majanga kama hayo pindi yanapotokea ili kuepusha moto usilete madhara makubwa


“ Hili ni agizo la Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mufindi, kujikinga na majanga ya moto yanayotokea mala kwa mala viwandani hii ni moja ya njia ya kujikinga na majanga hayo pindi yanapotokea. Mufindi ina viwanda vingi hebu tuchukue tahadhari”


“Rais wetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan Ni Balozi namba moja wa kuvuta wawekezaji nchini na kuweka mikakati ya kupunguza urasimu ili wawekeze katika mazingira Bora hivyo nipo hapa kusikiliza changamoto za wafanyakazi na changamoto za wawekezaji.” Lengo Ni kutoa huduma Bora kama Serikali na kuongeza mapato ya nchi kupitia wawekezaji hawa “


Jumla ya viwanda vinne vimetembelewa, kukaguliwa, kushauriwa  na kuchukua changamoto za wafanyakazi ambavyo ni:-

Briquette Energy solution

QWIHAYA

SHEDA GENERAL

Mastern solution

Akizungumza Afisa Utekelezaji kutoka WCF Bi, Mariam Mlilapi amesema Taasisi yao inajukumu la kushughulikia mafao ya wafanyakazi wanapoumia au kupata Ajali wakiwa kazini ila Ni wajibu wa wamiliki wa Viwanda kuhakikisha wafanyakazi wao wote wanachangiwa katika mfuko wao ili kuepusha mtumishi kukosa haki zake pale anapopata majanga akiwa kazini.

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi amepanga kuhakikisha Mufindi inakuwa Ni eneo sahihi kwa wawekezaji na Serikali inapata mapato yake kutoka katika viwanda hivyo. Aidha Mazingira ya Uwekezaji yanakuwa Salama na rafiki kwa wawekezaji kuwekeza na wafanyakazi wanafanya kazi bila kunyanyasika na wanapata haki zao kama wafanyakazi wengine nchini.


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.