• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

DC MUFINDI AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI WA VYANDARUA KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MUFINDI.

Posted on: March 7th, 2023

Jumla ya vyandarua 80,540 vyenye viuatilifu vitagawiwa kuanzia leo tarehe 6/3/2023kwa wanafunzi wote wa Shule za Msingi 200 katika Wilaya ya Mufindi ambapo katika Halmashauri ya Mji Mafinga jumla ya shule Za Msingi 43 zitapewa vyandarua bila gharama yoyote kutoka Wizara ya Afya na OR-TAMISEMI lengo likiwa ni kuhakikisha kiwango cha maralia kinapungua hadi kufikia asilimia sifuri(0%) ifikapo 2030.

Akizindua zoezi la ugawaji wa vyandarua katika Halmashauri ya Mji Mafinga,Shule ya Msingi Mkobwe Kata ya Boma yenye jumla ya wanafunzi 1100, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa amesema  kuwa Serikali kupitia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ina lengo la kupunguza maralia kwa wananchi wake kufikia asilimia sifuri(0%)ifikapo 2030. Hivyo amewaomba wazazi na viongozi kusimamia matumizi sahihi ya vyandarua wananchi.

Akizungumza wakati wa kumkaribisha mgeni rasmi,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema lengo la Serikali ni kupunguza maralia nchini na shule zote 43 za Halmashauri ya Mji Mafinga wanafunzi watapewa vyandarua ambavyo vina thamani ya zaidi ya shilingi milioni 800.


Aidha Meneja MSD Mkoa wa Iringa Ndugu Robert Lugembe amesema kuwa vyandarua vitagawiwa bila malipo kwa wanafunzi wote wa shule za msingi ambapo jumla ya vyandarua 80,540 vitagawiwa vyenye viuatilifu ambapo Mkoa wa Iringa ni kati ya Mikoa mitano ambayo imepokea vyandarua hivi chini ya Mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Afya na OR-TAMISEMI kupitia MSD.Amesema kwa Wilaya ya Mufindi ugonjwa wa maralia ni chini ya asilimia (7.5%)hivyo lengo la Serikali ni kupunguza maralia ifikapo 2030 kufikia asilimia sifuri(0%)

Akitoa salamu kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema kama Serikali ngazi ya wilaya watahakikisha wananchi wanatumia vyandarua kwa lengo kusudiwa na matumizi sahihi  na watoto wote wanalala kwenye vyandarua.

Uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua vyenye viuatilifu kwa wilaya ya Mufindi umehudhuriwa na wananchi na viongozi wa Chama na Serikali.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC


Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC


Halima Dendego

Angela Kairuki

Msemaji Mkuu wa Serikali

Wizara ya Afya (Health Ministry), Tanzania


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.