• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMETOA MKOPO KWA VIKUNDI 27 WENYE THAMANI YA SHILINGI 276,700,000/= IKIWA NI ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI KWAAJILI YA KUVIWEZESHA VIKUNDI KIUCHUMI.

Posted on: November 8th, 2022

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMETOA MKOPO KWA VIKUNDI 27 WENYE THAMANI YA SHILINGI 276,700,000/= IKIWA NI ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI KWAAJILI YA KUVIWEZESHA VIKUNDI KIUCHUMI.

Akitoa taarifa ya Mikopo Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema kuwa vikundi vinavyopewa mikopo ni 27 ambapo vikundi 13 ni vya wanawake na wanakopeshwa shilingi 131,800,000/- Vijana vikundi 8 na wanakopeshwa shilingi 100,800,000/- na watu wenye Ulemavu  Vikundi 6 wanakopeshwa shilingi 44,100,000/-

Naye Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Saad Mtambule amesema kuwa maombi ya mikopo yalikuwa ni bilioni 1 na wahitaji ni wengi hivyo wale waliopata mikopo kwa kukidhi vigezo basi wakaitumie mikopo vizuri na warejeshe ili kuwapa fursa na wengine kipindi kingine wakope.

“Wito wangu tukatumie fedha hizi vizuri asije akatokea mmoja wetu akapotea na hiyo pesa hatutakuacha hata kidogo, tutakusaka popote na sheri itachukua hatua,” Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Saad Mtambule


Ameongeza kuwa wanufaika wa fedha hizi waseme wazi kwani ni mikopo inayotolewa na Rais kupitia Asilimia 10 ya mapato ya ndani.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mufindi Geirge Kavinuke amesema kuwa utoaji wa mikopo ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kupitia Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuhakikisha inatoa mikopo isiyo na riba ii kuwainua wananchi Kiuchumi.       

“Lazima Mikopo hiyo irejeshwe kwasababu ipo kisheria na msiporejesha hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watu wote watakaochezea mikopo hii au kushindwa kurejesha,” Mwenyekiti wa CCM Mufindi Kavinuke.

IMEANDALIWA NA 

KITENGO CHA MAWASILIANO SEIKALINI-MAFINGATC 


Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Mafinga TC

                                                                              

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.