• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA INAJENGASHULE MPYA YA MSINGI JJ MUNGAI -MILIONI 326.5(BOOST)

Posted on: October 1st, 2025

SERIKALI KATIKA KUHAKIKISHA KILA MWANAFUNZI ANAPATA ELIMU YA MSINGI KATIKA MAZINGIRA BORA INAJENGA SHULE MPYA YA MSINGI JJMUNGAI KUPITIA MPANGO WA BOOST MILIONI 326.5- MAFINGA


Akizungumza Afisa Elimu Awali na Msingi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi. Dorothy Kobelo amesema kuwa shule inayojengwa niya Mkondo Mmoja ambayo itakuwa na Madarasa 2 ya Awali na Matundu 6 ya vyoo kwa Wavulana na Matundu 3 na Wasichana Matundu 3 pia Yanajengwa Madarasa 6 ya Wanafunzi ambayo yatakuwa na Matundu ya Vyoo 10 kwa Wavulana Matundu 5 na Wasichana Matundu 5.Fedha zinazotumika katika Ujenzi wa Shule ya JJ.Mungai ni Shilingi Milioni 326,500,000 kutoka Serikali Kuu kupitia Mpango ws BOOST.


Amesema ujenzi umefikia hatua ya kuezeka ambapo inajengwa Shule ya Msingi na Awali ambapo ikikamilika itaweza kupokea wanafunzi kwa mwaka 2026.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovella akiwa katika ziara ya ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo amesema kuwa fedha zilizopokelewa kwaajili ya PROGRAMU YA BOOST( Awamu ya Tatu)

ni kwaajili ya Ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi JJ MUNGAI 326,500,000 /-na

Shule ya Msingi Lumwago imepokea Kiasi cha Shilingi 112,000,000 /- kwaajili ya Ujenzi wa Madarasa 4 na matundu 6 ya vyoo pamoja na mapokezi ya shilingi Milioni 69.1 kwaajili ya ujenzi wa madarasa 2 ya mfano ya Awali na matundu 6 ya vyoo vya Awali.


“ Tunaishukuru Serikali kwa kuendelea kuleta fedha kwenye sekta mbalimbali katika Halmashauri yetu ya Mji Mafinga. Ujenzi wa Shule hii mpya ya Msingi umefikia hatua ya kuezeka na kwakuwa kila kitu kipo site tunategemea ukamilishaji wa ujenzi utakuwa wa ubora na thamani ya fedha iliyowekwa itaendana na ubora wa Majengo”



BOOST ni programu yenye lengo la kuboresha upatikanaji fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania Bara ambayo ni sehemu ya mpango wa lipa kulingana na Matokea katika Elimu.


Imeandaliwa na


Sima Mark Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MAAFISA MIFUGO MAFINGA WAPATIWA VISHIKWAMBI KWA AJILI YA ZOEZI LA KUCHANJA NA KUTAMBUA NG’OMBE 10,000

    October 01, 2025
  • USHIRIKIANO WA WALIMU, WAZAZI NA WANAFUNZI WASISITIZWA ILI KUFANIKISHA MAFANIKIO YA KIELIMU

    October 01, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA INAJENGASHULE MPYA YA MSINGI JJ MUNGAI -MILIONI 326.5(BOOST)

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAKUTANA NA WATUMISHI WAPYA WA IDARA YA AFYA

    September 30, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.