• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAANZA RASMI TAREHE 14/3/2023 KUTOA LESENI ZA BIASHARA KWA MFUMO WA TAUSI

Posted on: March 14th, 2023

Halmashauri ya Mji Mafinga yaanza rasmi  tarehe 14/3/2023 kutoa leseni za Biashara kwa Mfumo wa Tausi.

Akizungumza Ndugu Charles Tuyi Mkuu wa Kitengo cha Usafi wa Mazingira na Udhibiti wa taka kwaniaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi Happiness Laizer amesema kuwa  mfumo huu wa TAUSI utasaidia kuondoa msongamano kwenye Ofisi Ya Biashara kwani Mfanyabiashara atajihudumia mwenyewe eneo alipo na akikidhi vigezo atapokea Hati ya malipo na kulipia ili kupata leseni ya biashara.

Aidha amewataka wananchi kuchangamkia fursa hii kwani Serikali imerahisisha utoaji huu wa huduma ya leseni ya biashara kwa njia ya mtandao.


Aidha Mkuu wa Divisheni ya Viwanda, Biashara na  Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu, Evance Mtikile amesema Mfumo huu wa Utoaji wa Leseni kwa njia ya Mtandao Utarahisisha Utoaji wa Leseni na Ni rahisi kwa mfanyabiashara huko aliko anaweza kupata leseni akishakamilisha taratibu zote zinazomtaka akiwa kwenye Mfumo wa TAUSI.

Amesisitiza kuwa Divisheni ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Umenipanga kuwafikia wafanya biashara wote ndani ya Mji Mafinga ili kila mwananchi anayestahili kupata leseni apate na kwa wakati.


Akiishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa kuanziasha Mfumo huu Mmiliki wa KAMPUNI ya JANAKI VETERINARY CENTER amesema kuwa mfumo wa TAUSI utasaidia sana kupunguza foleni katika Ofisi za Utoaji wa Leseni na itamsaidia mfanyabiashara kupata leseni mapema alipo na kwa wakati ikiwa tu umetimiza vigezo kwa kuingia kwenye Mfumo na kuwa na viambatanishi vinavyohitajika.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGA TC


Sima Bingileki


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - Mafinga TC


@ortamisemi

@maelezonews

@salekwalinda

Halima Dendego

Angel Kairuki

Msemaji Mkuu wa Serikali

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.